Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukweli lazima tuwape watake wasitake km unaogopa ni wewe bro
Mimi siogopi mtu ila naheshimu mtu atakama yeye akinidharau mimi nitamuheshimu ila akivuka sana mipaka yangu ambayo nimeiweka lazima nimuonye in good way
 
Wanapenda zile hekaheka itakuwa, kuna mmoja juzi kavumilia kashindwa kaamua kusema, “Hiyo amani mliyonayo mashabiki hatupendi, sio km hatuwaoni ni vile tunajificha kwenye kona tunawacheck” Aiseee nilicheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ni kamati ya roho mbaya 😂
Itashangazwa mwaka huu,
Wataona amani inazidi kutawala 🤣
 
Asante sana chief

Selfika snap it, show it

Cute Wife usiseme sijakuita
[emoji419][emoji375][emoji817]
20230820_215129_HDR.jpg
 
Acha wivu kama huna wakupiga naye story wewe nenda tu ukaselfike mwenyewe hadi ulale mwone kila saa unalike tu story za wenzako , siumwite upendaye na mashem mchart
Nakupenda wewe maua mrembo wangu kipenzi changu
Njoo nikuimbie nyimbo nzuri⚘️
 
Inavyosubiriwa hiyo selfie kwa hamu ni balaa shem
Itapigwa screenshot juu kwa juu

Kwan unaogopa?? We selfika hapa tukuone boss wa vocha unayesumbua selfika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom