Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Ukipewa unaweza?? Unaongea unaweza enda na nyota yangu😅😅😅😅 mie na Unique Flower ni kama samaki na maji.. alafu siku watatushangaa hapa
Ukipewa unaweza?? Unaongea unaweza enda na nyota yangu😅😅😅😅 mie na Unique Flower ni kama samaki na maji.. alafu siku watatushangaa hapa
Yaani mdogo wangu acha tuHee😂😂😂😂😂😂😂
Tena?
Hii ya lini?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani nimewakataza kushabikia Liverpool?😂
Akiyanani next week nadhani nitaenda kuinunua.
Ntaitupia humu wanaokereketwa nasema na bado🤣🤣🤣🤣
baby acha ukali.. mambo yetu si utanipea badae 😋😋😋Ukipewa unaweza?? Unaongea uaine enda na nyota yangu
😅😅Acha pipo zipelekeane moto mchuchu
😁😁😁Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta
Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia
Inavyosubiriwa hiyo selfie kwa hamu ni balaa shemHaya selfika sasa nasubiri hapa![]()
Huwezi hata kidogobaby acha ukali.. mambo yetu si utanipea badae 😋😋😋
Dah Hadi wewe kigorii🤣😂Mimi yalisha nikuta kuna member tulizoeana kweli matani sana na vikopa jukwaani kumbe ilikuwa kosa bila kujua hata hatukuwa tunatakana akaanza kupelekewa faili langu eti wananijua ni Single mama ninayetafuta huruma 😁😁
Chino mbona Sina shida.Piem nilifuta zote na nili ignore mpk ugonge hodi ss hivi![]()
leo nitakunyoosha jiandaeee tu 😅😅😅Huwezi hata kidogo
nakuja mama tupige storyPiem nilifuta zote na nili ignore mpk ugonge hodi ss hivi![]()
Sasa walikuwa wapi kumtafuta
Au ndo ile mtu anatembelea nyota,anapopita Fulani,Naye akasafiahe nyota aonekane mjanja.





Ile message ya muamala wa jezi kumbe imekereketa watuYaani mdogo wangu acha tu
Ume Anza kutusema majobless🤣😂We humu watu ni wakuda kichenzi halafu sijui niseme ni ukosefu wa kazi 😬
Acha wivu kama huna wakupiga naye story wewe nenda tu ukaselfike mwenyewe hadi ulale mwone kila saa unalike tu story za wenzako , siumwite upendaye na mashem mchartAfadhali umekuja na kaselfie matata
Wajumbe wanapoteza mahudhui ya uzi
Badala waselfike wanapiga story tu
Sasa ebu kajibu ile PM yangu basi kwanzaa![]()



Sasa ukipata acess unafanyaje mzee.
Mimi siogopi mtu ila naheshimu mtu atakama yeye akinidharau mimi nitamuheshimu ila akivuka sana mipaka yangu ambayo nimeiweka lazima nimuonye in good wayUkweli lazima tuwape watake wasitake km unaogopa ni wewe bro