Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,791
Tuachie sisi single brotherNdio nina mke mkuu 😅😅
Tuachie sisi single brotherNdio nina mke mkuu 😅😅
Ebu tupatie ile praiveti jeti yako tufanye mambo 😀 😀 😀




Kama unakunywa pombe hatutaweza kukaa meza moja maana mimi na harufu ya pombe na sigara tuna ugomvi 😁😁Tukikaa meza moja nyuki si watakuwa wengi 😀 😀
Mswahili sana mbona madem anaopita nao wanamsemaga mchafu sana ana nuka miguu sema hawaja celebrate af mtu huyo anakuja kwenye hadhara kusema anawaheshimu wanawake kesho atamuomba msamaha kajalNdio hivyo tena
Eh mie na carrassco putin ni maexkhaaaaaa!!!
Mambo ya Range. Bongo stress uzitake tu mwenyewe. Celebrities wanavuana nguo kwa vitu walivyopeana kwa hiari yao





ha ha ha tutawailiana kwa zoom 😀Kama unakunywa pombe hatutaweza kukaa meza moja maana mimi na harufu ya pombe na sigara tuna ugomvi 😁😁
Eh ila sasa hatujawahi onana ni wanyuma ya keyboardUsinambie![]()
Fanya haraka kabla watu hatujashiba tukasinzia hapaYaani leo nataka nifanye fujo humu ikiwezekana niweke sura kabisa niko na stress vibaya mnooo kuna mtu amenionea mimi😬😬
Yaani leo nataka nifanye fujo humu ikiwezekana niweke sura kabisa niko na stress vibaya mnooo kuna mtu amenionea mimi![]()
Yaani leo nataka nifanye fujo humu ikiwezekana niweke sura kabisa niko na stress vibaya mnooo kuna mtu amenionea mimi![]()




Acha tu ndugu yangu sijui leo ninywe kwa mara ya kwanza nileweee 😅😅Kumekucha kumekucha
Wewe lete kitu naked kabisa
Emu nambie nani kakuonea tumchape
Acha tu ndugu yangu sijui leo ninywe kwa mara ya kwanza nileweee![]()
Relaaaaaaaxxxxxx!!!!!Astaghfirullah astaghfirullah astaghfirullah dunia imefika mwisho.
Hapa sio pa kusikitika tena






Acha tu ndugu yangu sijui leo ninywe kwa mara ya kwanza nileweee![]()




Na man city uduguuu, hebu fanyaa hivyoooonampigia simu namwambia ss hivi tena afanye akununulie jersey mpya ya simba