Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Me tukiachana watajua tu kila jukwaa siwezi kukubali
Haipaswi kuwa hivyo. Watu mkishakua na relation, mkiachana mnaachana kwa amani tu. Mtu aliyekupenda na kukupa muda wake wala hupaswi kumdhalilisha wala kumsema tena vibaya
 
Haipaswi kuwa hivyo. Watu mkishakua na relation, mkiachana mnaachana kwa amani tu. Mtu aliyekupenda na kukupa muda wake wala hupaswi kumdhalilisha wala kumsema tena vibaya

Km sijakubali kuachika je?

Yaani unipotezee muda wanaume wote humu niwakatae kwaajiri yako afu tuachane kwa amani?? Thubutuuuuu!!!!!!!!
 
Yaani leo nataka nifanye fujo humu ikiwezekana niweke sura kabisa niko na stress vibaya mnooo kuna mtu amenionea mimi😬😬
Mpendwaa umenusa moshi wa bange nini 😅😅😅... nimezoooma hiyo picha dah! una vidole vizuri kweli vya miguuni.. nikiona vidole vya hivyo elimu yangu inaniambia ndani kuna nini.. Pia una vidole vizuri vya mkononi vya kushika shika hela 😊😊😊
 
Back
Top Bottom