Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,350
Mbona mimi nizaidi ya huyo tatizo uliringaJF nzima sijaona shape matata yenye mvuto wa kimahaba kama hii![]()
Mbona mimi nizaidi ya huyo tatizo uliringaJF nzima sijaona shape matata yenye mvuto wa kimahaba kama hii![]()
Hii kama ni gari imepauka
Yote haya mgonjwa kunywa maji basi



Mawifi mmesusa kuniletea juice mpk mgonjwa naruhusiwa khaaaaaa!! Watu wa R mna roho ngumundo maana wadada wa dar wakija arusha hawataki kurudi kwao![]()





Udugu wananichosha hawa tyuu!! Mimi niache kufanya vitu vya maana nianze kumchunga CW kweli?
Wao waniite akiwa anataka kunicheat nije nimzodoe![]()




uduguuu kisukarii kimeanza lini??Sawa romahahaha
mashabiki wa mwijaku
Ata bure wanakupana mindula yao mikubwa oversize km vile vya tandale ukipita saa 11 asubuhi wamevimwaga wanauza 400
Coca ninaomba nikulipie nauli ya ndege uende uganda hata ikiwezekana VIP.



Uganda cha mtoto, naweza kwenda Russia go n return, tena kwa nauli yanguu.uduguuu kisukarii kimeanza lini??
Mbna ghaflaa sanaaa.



kisukari kipi tena??Soko so litakuwa gumuAtarudi kufanya hip hop bhana
Wengi wapo hivyo kweli, wala hujakosea. But tupo wachache ambao hatupo hivyoWakorofi, wajuaji, wabishi, wasumbufu, wanapenda hovyo, hawataki skirt iwapite, wavuvi haramu, kila kyupi wanataka waivue, wapiga nyeto wakubwa, watumiaji wakubwa wa drugs, hawatulii na mpenzi mmoja, wanaongoza kwa kusalitiwa, waongo….nk
NB: Kati ya yote hayo CW hausiki![]()
Ata bure wanakupa



na mishati yao ya dogy dogy plus mikoti na mibegi km watalii wa FinlandNi bajaji 🤣🤣Hii kama ni gari imepauka
Uganda cha mtoto, naweza kwenda Russia go n return, tena kwa nauli yanguu.
Babu yako Mu7 hana jipyaaaa tenaa. Poleeee wee.

huko ndio dawa yenuAhahahha miijitu mirefu kama inachuma papainna mishati yao ya dogy dogy plus mikoti na mibegi km watalii wa Finland
Muda ukifika, kitaeleweka tuKufanywa kitoweo![]()