YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Soko so litakuwa gumu
Yule fundi wa hip hop soko haliwez kumkataa afu tuna mpango wa kwenda kuchukua jimbo 2025




Soko so litakuwa gumu




Usinisahau chawa bado jobless 😔Yule fundi wa hip hop soko haliwez kumkataa afu tuna mpango wa kwenda kuchukua jimbo 2025![]()
Wengi wapo hivyo kweli, wala hujakosea. But tupo wachache ambao hatupo hivyo



utraamu wangu huyo!! Umefika baba angu 
Njoo fasta chemba, kuna dharurautraamu wangu huyo!! Umefika baba angu
![]()
Uganda cha mtoto, naweza kwenda Russia go n return, tena kwa nauli yanguu.
Babu yako Mu7 hana jipyaaaa tenaa. Poleeee wee.



emu akuache kwa raha zakoUsinisahau chawa bado jobless![]()




Njoo fasta chemba, kuna dharura




Ahahhahah hiii itapendeza zaidi ase 🤗Tutakuchukua utatufaa kwenye campaign![]()

Ntakuchapa emu niambie vizuri kwanza nawe![]()




uduguuu huna jipyaaa? Mbna nna hamu ya kupataa umbeaa wa motooo. Hata was mtaani kwako wee nipatie tyuuh niishi nao.






Muda ukifika, kitaeleweka tu
Mambo ya Range. Bongo stress uzitake tu mwenyewe. Celebrities wanavuana nguo kwa vitu walivyopeana kwa hiari yaoKwani lile gari langu lishafika? Utanifanya nichomoe drip![]()
Good 👍 luck
emu akuache kwa raha zako




yaan rahaa mara dufuuu, uduguu kuna dildo za umeme toleo jipyaaa, ni kalii hizoo nataka nijipatie 1, maana naona dalili za kuachwa na Mr vocha, natafuta back up mapemaaa.






uduguuu huna jipyaaa? Mbna nna hamu ya kupataa umbeaa wa motooo. Hata was mtaani kwako wee nipatie tyuuh niishi nao.
![]()





Harmoniz3 haja move on kajala mzembe angetakiwa kuondoka na vitu vingi yule dog mshamba sana alimvuq ngua jackline worpler enzi zile vibaya mno I think ni tabia yakeMambo ya Range. Bongo stress uzitake tu mwenyewe. Celebrities wanavuana nguo kwa vitu walivyopeana kwa hiari yao