YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Mnunulie chawa wako m9oja


Huku tunanunua yakiwa kwenye caton dogo, sasa nakupaje moja??Mnunulie chawa wako m9oja


Huku tunanunua yakiwa kwenye caton dogo, sasa nakupaje moja??unipitishie hapa mbeya gunia langu la apples![]()


usijali nikifika kabwe nitakushtua😅😅 asubuhi huwa kawaida... hata kitambaa ukienda saa 12 unawakuta wanaaubiri huruma tu.. maana sijui hawana pa kulalaNikweli nilienda kunywa supu morning nikamkutaa mmoja mfupi kajazia kweli
Vp baba paroko ulifanikiwa kufunga naona funga yangu ya Leo imeangukia kwa police wa Jiji kunikamata kwenye parking isiyo rasmi wamenitoa kwenye reli😂😂😂Tutafunga kwa mafungu saa tisa alasiri padri Fabian Vitus
Ndio nimetoka kula muda huu
Wewe si shem ako mchukue mkalewe me mimba ya mwanae inisumbue na yeye mtu mzima anisumbue?!!
Nipo busy naongea na business partner wangu khs biashara zetu za kutoa Apple’s Z kuja Dar




khaaaahkhaaaah









Coca ninaomba nikulipie nauli ya ndege uende uganda hata ikiwezekana VIP.khaaaah
Nna ciroc hapa, acha tuUdugu wananichosha hawa tyuu!! Mimi niache kufanya vitu vya maana nianze kumchunga CW kweli?
Wao waniite akiwa anataka kunicheat nije nimzodoe![]()
Nna ciroc hapa, acha tu

Nipo chiefMjep bado umefungiwa
Ningekuwa karibu ningeimwaga
Unajua kwann? Nitafute umeniuzi kweli afu niko serious


Ohoo nicheck basiJichekeshe unajua nini namaanisha![]()
mi mtumishi wa bwanaWewe fwedha huna usituchoshe
Sisi hatutaki watumishi, tunawataka wafanya biashara
Niko naye hapa, tunapasha kiporoThubutuuuuu!!!
🤣🤣🤣🤣 maokoto😅😅 asubuhi huwa kawaida... hata kitambaa ukienda saa 12 unawakuta wanaaubiri huruma tu.. maana sijui hawana pa kulala