Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Nakuja nao njiwa wanguntakuwepo na Mwachiluwi anafuga njiwa mbalizi😂
Nakuja nao njiwa wanguntakuwepo na Mwachiluwi anafuga njiwa mbalizi😂
Ww umezid iiyo passso yako unasumbua mjiniVp baba paroko ulifanikiwa kufunga naona funga yangu ya Leo imeangukia kwa police wa Jiji kunikamata kwenye parking isiyo rasmi wamenitoa kwenye reli😂😂😂
Kumbe wewe ni ,mrembo hiv
Huu mgu huu, ulipendelewa, huwa wanaita wa bia sijui !! ebu pata balimi hapo kwa jirani, tutalipa mwisho wa mwezi
Mim nataka apite hapa naked kàbisa naampa iPhone 13 Pro 😁Huu mgu huu, ulipendelewa, huwa wanaita wa bia sijui !! ebu pata balimi hapo kwa jirani, tutalipa mwisho wa mwezi
Nakuba raha eeee, mpaka unajiona ni wa kipekee katika hii dunia si ndio 😀 😀
Toto limeumbika hatari, anapatikana wapi nianze kumpigia misere 😀 😀Mim nataka apite hapa naked kàbisa naampa iPhone 13 Pro 😁
Mim nataka apite hapa naked kàbisa naampa iPhone 13 Pro![]()



mshamba_hachekwi njoo jamaa yako anataka kugawa iPhone yake aliyopigia rost la dagaa😀 😀 😀 ebu njoo tupate mdudu rosti hapa kwa mangiMissy Gf ukimaliza kubinuka njoo nakuita shogare
Ndiomana hujaonekana hospital kumbe uko busy kuruka mijudo?!!!![]()