Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

rangii ya mtume halisi haionekani hovyooo, labda unataka inayotokana jiki ya buku kwa jero pale Mwembe Yanga.

uduguuu nalalaa, kesho shambani kuvuna mahindii, famchezo nn??

ongeza sautiiiiii

Usilale bana selfika, nitamwambia mtu akutumie pesa ya kuvuna kesho
 
Unashangaa huyu wana mzunguzmia mie au ni mtu mwingine.. unakuwa confused... mtu hujawai hata onana nae, na unakuta kuna watu wana mjua humu na kumuheshimu unaunganishwa nae kwenye tela.. wengine wana ndoa zao na familia zao.. unaunganishwaa.. likatokea la kutokea inakuwa tafrani tupu.. kweli JF wengi hawana kazi nimeamini ndio maana unakuta mtu yupo humu 24/7 😅😅
Kwani majobless kosa letu nini🤣
Sijapenda
 
Unashangaa huyu wana mzunguzmia mie au ni mtu mwingine.. unakuwa confused... mtu hujawai hata onana nae, na unakuta kuna watu wana mjua humu na kumuheshimu unaunganishwa nae kwenye tela.. wengine wana ndoa zao na familia zao.. unaunganishwaa.. likatokea la kutokea inakuwa tafrani tupu.. kweli JF wengi hawana kazi nimeamini ndio maana unakuta mtu yupo humu 24/7 😅😅
Yaani humu ukishamuwekea member imoj😍❤️ Kuna watu wanaenda tengeneza story huko jamanii tayari fulani na fulani wamekulana😁😁🙆🏾‍♀️
Gombana na mtu jukwaani sasa hata kama hakujui atadanganya nakujua mpaka figo zako 😬😁😁
 
Usiku mwema jaman muwasalimie shemeji zetu uko walipo
4C569833-376A-49CC-AC65-15A5B9799903.png
 
Unashangaa huyu wana mzunguzmia mie au ni mtu mwingine.. unakuwa confused... mtu hujawai hata onana nae, na unakuta kuna watu wana mjua humu na kumuheshimu unaunganishwa nae kwenye tela.. wengine wana ndoa zao na familia zao.. unaunganishwaa.. likatokea la kutokea inakuwa tafrani tupu.. kweli JF wengi hawana kazi nimeamini ndio maana unakuta mtu yupo humu 24/7 😅😅
Mnachekesha 😄😄

Wa 24/7 si unaanzaga na wewe 🤣🤣🤣
Af kuna sisi tunafanya kazi play station
Tuko na desktop 24/7
Tuna bando
Wacha tukeshe ban
 
Back
Top Bottom