Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi pesa ipo sihitaji danga wala bwana, nishawahi kukudanganya wewe? Mwachiluwi ebu mpe taarifa zangu coca

Nina pesa za majini haziishi, hebu selfika nione rangi traaamu ya toto la kingoni linalomvuruga Mjep
😂😂😂😂 bosss wewe huchuji juzi tu hapa umenipa laki moja kisa tu nimekusifia nani kama wewe CEO na mwakan tuna nunua jf huna uswahili ukifa wewe uozi nakwambia na ukioza unuki 😂
 
Hapo natamani niwe kama yeye Yani na mimi niwe na boobs, kiuno laini, tako, nitafurahi sana

Nina mpango wa kufanya surgery. Niwe shemale ? Ila sina hela 😭😭😭😭😭
Nenda ubalozi wa marekani.
Mbona ni chap tu nikki wa pili 🤣🤣
 
Unajua nini bro, huyo kiumbe wala hata simjibu
Kaweka dislikes kachoka anajitekenya
Too old for that bullshit
Wala usipate shida nae, huyu niachie nipo nimeacha majukumu yote kwa ajili yake.

Penseli ni lazima atasanda.

Penseli wewe ombea nisiwe nalog in jf. Ila kila nikipata muda wa kuingia humu nina wewe
 
Bana wee si miaka ile WhatsApp inaingiaingia, Kuna pisi moja ina sura kali sana kila nikiomba picha natumiwa sura tu nikasema huyu ndio enyewe yani

Hapa na pale tukapanga kumeet kule juu akemi(nadhani unapajua), alafu nilikua na tag siku hiyo wana wametulia wanakula vitu na baby zao, mm ndio nasubiria kuosha na huyu.

Kumbe meno yameungua alafu miguu njiti kinomaa

ndo ukome na ufisi wako!!! Si nakwambia kila siku mpigiane video call kabla ya kuonana

Afu Mello aweke live km TikTok hayo majibizano ya humu yangependeza sana
 
Yaan mie nianzee kuwasemaa watu ambao A - Z Zao hazinihusu na hazinistuiii?? Nna mengi ya kufanya ila sio hayooo.

Drama zenu za JF zinaishiaga kwenu wahusikaaa, sina mda wa kuwazungumzia wasio husika na mie.

Km kwenye hayo manjegekaa mnanihusisha na mie, bas mkaanze upyaaa.
Sorry, unajua jina la penseli likija na lako huwa linakuja sijui kwa nn
 
Back
Top Bottom