Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa naonekana nasambaza ngwengwe makusudi.. huoni hata kama kuna mdada likuwa aolewe humu hizo fununu kama zamfikia mlengwa si msala huo.. alafu kulala ( uasherati, uzinzi sio ulijali ). Ulijari ni kuwa mwanaume unaweza tekeleza majukumu yako ya kibaba..
Dunia na walimwengu wake yaani Jf ina watu ukisikia vile wanaeneza uwongo na uzushi huko pm unaweza shika🙆🏾‍♀️
 
Hii ime expire maana msemaji ana aibu sahii hata huu uzi hafiki 🤣
Anahisi muda wote nitamsuta

Nataka story mpya content creators 😂😂
Km mmefulia niulizeni basi
Okay tupe mpya basi🤣
 
Dunia na walimwengu wake yaani Jf ina watu ukisikia vile wanaeneza uwongo na uzushi huko pm unaweza shika🙆🏾‍♀️
Unashangaa huyu wana mzunguzmia mie au ni mtu mwingine.. unakuwa confused... mtu hujawai hata onana nae, na unakuta kuna watu wana mjua humu na kumuheshimu unaunganishwa nae kwenye tela.. wengine wana ndoa zao na familia zao.. unaunganishwaa.. likatokea la kutokea inakuwa tafrani tupu.. kweli JF wengi hawana kazi nimeamini ndio maana unakuta mtu yupo humu 24/7 😅😅
 
Back
Top Bottom