Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
We ushaanza kusinzia nini🤣🤣Na kugombea bocha za mjeo uku wao ni bass wa tra 😂😂😂 wakumbeshe wapige mswaki morng sasaiv
Si ulale kama una usingizi jamani
We ushaanza kusinzia nini🤣🤣Na kugombea bocha za mjeo uku wao ni bass wa tra 😂😂😂 wakumbeshe wapige mswaki morng sasaiv
💭💭💭💭💭🤣🤣🤣Muhimbili wameanza kutibu wenye tatizo la nguvu za kiume, kudos
Sasa mimi mwenye tatizo la deep holes sijui itakuaje wanatuacha tujifie tu 😓😞😞
Mimi sina MBUNU yoyote Darlin g 😁😁😁😆😆😆
Hii naijua hii, una mbwinuuu sio za nchi hii
Mwachiluwi haya tuma namba uungwe chap kwa haraka, boss kaamua
Ahaha namrushia pm namba yangu sio namba ya huduma kwa wateja niiweke hapa 😂😂😆😆😆
Hii naijua hii, una mbwinuuu sio za nchi hii
Mwachiluwi haya tuma namba uungwe chap kwa haraka, boss kaamua
Acheni kumshobokea 🤣🤣🤣Em tumuone🤣
Hakujui kama wewe jeshi kutoka mbinga huko,haihitaji backup ya I'd ingine![]()




hapo sasa, I'd ingine namuogopa nani sasa? Km founder na moderators wake siwaogopiii, ndo awe yeyee?? anijiee taratibu, tena akae kwa nywilaaa khaaah.Please do🤣Content mpya.. new story ikifika nitashea 😆
Usihofu napenda nyie wanawake hustlers. Ningeweza kukuungisha zaidi na zaidi but but huku kujificha napo muhimu sana
Niacheni nilale
Nina deni,hapa nililala nikiamka nawaza cake yenu namna naidesign.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hapa chap unafuta😀😀Ahaha namrushia pm namba yangu sio namba ya huduma kwa wateja niiweke hapa 😂😂
Sasa naonekana nasambaza ngwengwe makusudi.. huoni hata kama kuna mdada likuwa aolewe humu hizo fununu kama zamfikia mlengwa si msala huo.. alafu kulala ( uasherati, uzinzi sio ulijali ). Ulijari ni kuwa mwanaume unaweza tekeleza majukumu yako ya kibaba..Sasa Mwanaume ukiambiwa umemkula fulani si ulijali why unachukia😅😅😅
Nikiweka simu nakumbuka huku kuna heka heka natakiwa kusaidia watu chakula kiiveWe ushaanza kusinzia nini🤣🤣
Si ulale kama una usingizi jamani
Duuh asee dc hivi una mingapi sio 35 kweli kuwa makini umebakiza 5 mbeleHaya yote chanzo ni nikki wa pili, kisayansi sphincters zangu zishalegea hata ubongo wangu huwa unaacha kufanya kazi yake sawasawa. Baada ya hapo utumbo wangu umeanza kushambuliwa kwa kasi, ndio maana huwa hawatoboi miaka 40
Tunataka kujua kwanini ulitelekezwa na mdhunguuuAcheni kumshobokea 🤣🤣🤣
Dogo kalale achana na umbeyaNikiweka simu nakumbuka huku kuna heka heka natakiwa kusaidia watu chakula kiive
Sina ujasiri uho hapa kuna masijala hapa jf tena watunza kumbukumbu wako vzr ujui tuWeka hapa chap unafuta😀😀
Kwani watoto wa shemeji wako wapi, au wanakutegeaNikiweka simu nakumbuka huku kuna heka heka natakiwa kusaidia watu chakula kiive
Sawa kaka unanifukuza kesho hakuna shulDogo kalale achana na umbeya
Eti Masijala🤣🤣🤣🤣Sina ujasiri uho hapa kuna masijala hapa jf tena watunza kumbukumbu wako vzr ujui tu
Penseli nina usingizi na mambo mengi kesho Ila nipo tayari kuchelewa kulala mpaka nijue kama unakuja nikupime hiyo holeDuuh
Leo vocha niko nazo mbali shem wambie waweke namba hapa chap niwarushie muamala![]()


