Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani humu ukishamuwekea member imoj😍❤️ Kuna watu wanaenda tengeneza story huko jamanii tayari fulani na fulani wamekulana😁😁🙆🏾‍♀️
😅😅😅😅.. wanakutengeze movie kamili hadi namba ya chumba mlicho nalala na jina la hotel.. na siku ya kwenda kuchukua dose wanajua.. humu kuna vichwa panzi haswaa
 
😅😅😅😅.. wanakutengeze movie kamili hadi namba ya chumba mlicho nalala na jina la hotel.. na siku ya kwenda kuchukua dose wanajua.. humu kuna vichwa panzi haswaa
Afadhali yamekukuta... then you will take back a look.


Mkifanyiwa nyie mmesingiziwa
Wengine walifanya kweli
Nyoko zako babe... haya tukalale 😘😘
 
Tuone km yaliyomo yamo sio kujikosha tu
Bana wee si miaka ile WhatsApp inaingiaingia, Kuna pisi moja ina sura kali sana kila nikiomba picha natumiwa sura tu nikasema huyu ndio enyewe yani

Hapa na pale tukapanga kumeet kule juu akemi(nadhani unapajua), alafu nilikua na tag siku hiyo wana wametulia wanakula vitu na baby zao, mm ndio nasubiria kuosha na huyu.

Kumbe meno yameungua alafu miguu njiti kinomaa
 
Wala msianza kufichaficha huyo ni penseli pamoja na ndugu yake cocastic. Huu uoga wenu wa kutowataja ndio unafanya hawaachi hii tabia
Yaan mie nianzee kuwasemaa watu ambao A - Z Zao hazinihusu na hazinistuiii?? Nna mengi ya kufanya ila sio hayooo.

Drama zenu za JF zinaishiaga kwenu wahusikaaa, sina mda wa kuwazungumzia wasio husika na mie.

Km kwenye hayo manjegekaa mnanihusisha na mie, bas mkaanze upyaaa.
 
Back
Top Bottom