cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Nimestaafu battle zisizo na maana kwangu, sio wee walikua wenzakoo tena wamechachuka km ndimu mbichi isiyokomaa, na walikua wengi sio km wee pekeee akoo, uliza humu uambiweee.Kwanini ulibadilisha ID ukawa unanitukana nakusema sema ovyo mie mwanaume na sina ligi yako mi najua kuwa niwewe cocastic kwanini au siruhusiwi kuwa free humu mbona wewe sikuwekei kipimo cha kuongea na mtu sasa ni hivi sipendi kufatiliwa kiboya humu kila mtu anahuru autakao maana hata hili bando no one ameniwekea na hii account sio wewe umeni creatia kuanzia leo wewe na group lako mnikome kufuatilia kifala sipendi nuksi zenu shida zenu kalalieni kwenyw magodoro yenu kama huwezi kuongea kiakili maneno machafu siwezani nayo .
Sina kikundi cha kukufatilia wee, kwanza huo muda nautoa wapii? Drama za JF hazijawahi nisumbuaa, kwa kifupi mie hizo level nimeshavukaa zamanii.
Hiyo I'd mpyaa unayosema ni mie ifuatilie kwa makini, utakuja kumpata muhusika wakoo, mie hizo sio shida zangu. Huna cha kunifanya niwe buzzy na wee, selfika kaa kwa amani na kuwa huru utakavyooo. Sina mda wa kuhaha na manjegeka ya humu.
Muulize Mjep vizuriii akuambiee, usinihusishee na drama zakoo, sina hizo pigo.
Samahani sanaa.






