Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanini ulibadilisha ID ukawa unanitukana nakusema sema ovyo mie mwanaume na sina ligi yako mi najua kuwa niwewe cocastic kwanini au siruhusiwi kuwa free humu mbona wewe sikuwekei kipimo cha kuongea na mtu sasa ni hivi sipendi kufatiliwa kiboya humu kila mtu anahuru autakao maana hata hili bando no one ameniwekea na hii account sio wewe umeni creatia kuanzia leo wewe na group lako mnikome kufuatilia kifala sipendi nuksi zenu shida zenu kalalieni kwenyw magodoro yenu kama huwezi kuongea kiakili maneno machafu siwezani nayo .
Nimestaafu battle zisizo na maana kwangu, sio wee walikua wenzakoo tena wamechachuka km ndimu mbichi isiyokomaa, na walikua wengi sio km wee pekeee akoo, uliza humu uambiweee.

Sina kikundi cha kukufatilia wee, kwanza huo muda nautoa wapii? Drama za JF hazijawahi nisumbuaa, kwa kifupi mie hizo level nimeshavukaa zamanii.

Hiyo I'd mpyaa unayosema ni mie ifuatilie kwa makini, utakuja kumpata muhusika wakoo, mie hizo sio shida zangu. Huna cha kunifanya niwe buzzy na wee, selfika kaa kwa amani na kuwa huru utakavyooo. Sina mda wa kuhaha na manjegeka ya humu.

Muulize Mjep vizuriii akuambiee, usinihusishee na drama zakoo, sina hizo pigo.

Samahani sanaa.
 

Attachments

  • Screenshot_20230810-234023_Instagram.jpg
    Screenshot_20230810-234023_Instagram.jpg
    203.7 KB · Views: 4
Mapapai ya njanoo
Yani kupitia tuu replies unaona kabisa hili linafaa kabisa kuliwa😆😆😆😆
Leo wacha yaanguliwe yaliwe bila chumvi
Af sasa linavyochekesha, likiona ID ya kiume inakuqoute eti linakimbilia pm kwake na kuanza kukuchafua.

Hee sijui linataka liliwe na kila mwanaume huku, asa si litachanika jamani na hela hana atajitibia na nini??
 
Sijali kuhusu Mjep mie najali kuhusu huyu cocastic alilogin kwa account ingine akiaanza kunitusi kisa mtu simjui kwa hiyo mie nisiwe namatani na mtu kisa mtu fulani anamtu mimi sijali Mjep wala najali heshima yangu na sina muda na mtu simjui na wala hawezi kunisaidia nilipo hapa sasa hivi so mimi sipendi kuzoewa kisa eti mtu anamtu
poleeee sanaaa, endelea kuteseka tyuuh. Wee kuwa buzzy na mie unadhan ndo hiyo I'd mpyaa, woiiiiiiih.
 
Haya ndio mambo, nilishangaa mlikua mnamuogopa huyu dunya

Penseli leo kuna battle nyingi, nitakutafuta siku nyingine. Hatujamalizana
Mie nimuogope huyu mavi.. nilikuwa namuangalia nione kama ana haiba ya kiume, hasara tupu hii kwa alie izaa.. bora bao ambalo lilitunga mimba baba yake angelimwaga chini tu..
 
Back
Top Bottom