Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole sana bro
Sasa wewe una ubaya na nani humu ndani
Au wanaona unawachukulia wanawake wao
Asante sana mdogo wangu!

Kumbe mie utani utani watu wanajua kweli..
Kitu kibaya sana kuishi kwa hisia, humu JF sijawai lala hata na mwanamke mmoja na haitakaa ikatokea hilo.. lakini watu wanalazimisha tu..

Sema nini mdogo wangu Darlin .. mie nitamalizana nao kwa namna yangu.. nayo ijua.. wamenichafua ile mbaya.. alafu wengine wanafiki kinoma wana chati na mie hapa shenzi zao kabisaa
 
hata wewe mdogo wangu
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..

ko utawaua?? Kweli umekasirika
 
Makubaliano si yalikuwa ni kuachana na any kind of drama frm Jf? Then why u keep on? Huwezi kuignore? Kublock pia? Eishhhh

Better urudi kwenye ile ID nyingine... Romeo na wewe wa 2021.

Yule niliyekuwa nampigia simu mpaka inakuwa ya moto
Mxieeeeeew.
Ninyonyeshe mtoto alale.


Umesema unyonyeshe nini
Haya msalmie junior
 
maskini mama mchungaji Heaven Sent hata kusikia sauti yangu au yake achana kuonana tu haijawai.. tokea..


Hawa watasepa mmoja baada ya mwingine ni kikundi cha watu..

Nimekuwa mualifu kiasia gani hadi kutembea nawe mdogo wangu dah ....

Hapo kwenye kuwaua panachekesha

Pole Wewe si unasali? Muachie Mungu ila waambie ukweli, wajue wanachofanya sio kizuri
 
Unanambia mie au unanifananishaa? Kipi unachotaka niongee huo ukweli unao utaka? Na huyo mchagga ni yupii??

Hebu sema kwani!!
Siku za nyuma kulikuwa na yule mchagga aliyekuwa anakupenda na ukasema kweli mnapendana kumbuka hiyo thready maana sijamshika jina ila ulikuwa unadai ni unampenda sina uongo au mlikuwa mnataniana na sipendi uongee kitu nataka uongee ila ni ukweli ila sikumbuki post yenyewe wewe ndio utamkumbuka ila kingine huna ID ingine ukawa unanipondea au kuna kitu nimekukosea hadi uwe unanijibu hivyo napenda kujua . Maana leo nimeanza kupokea matusi sio mazuri , kingine umewahi sikia nipo na mtu humu , halafu cha mwisho umewahi nifahamugi mie umeniona mahali popote ukaambiwa huyu ni unique flower nataka kufahamu hilo .
 
Makubaliano si yalikuwa ni kuachana na any kind of drama frm Jf? Then why u keep on? Huwezi kuignore? Kublock pia? Eishhhh

Better urudi kwenye ile ID nyingine... Romeo na wewe wa 2021.

Yule niliyekuwa nampigia simu mpaka inakuwa ya moto 🤣🤣
Mxieeeeeew.
Ninyonyeshe mtoto alale.
😬😬😬 sema nataka nitoe fundisho ... wasirudie , naandika kama utani.. ila mtajionea wenyewe hapa...
 
Back
Top Bottom