Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi napenda kufurahi afu usichokijua mimi ni mcha Mungu. Sema kuna muda roho mtaka fujo ananivaa

Afu kukosa Kantri kuna kituko kingine nilitaka kukileta mvunje mbavu
Uje nikupige power bwa mdogo . huyo roho taka fujo haitokufata tena 😅😅
 
Haya leta mafile yote uniwekee hadharani na picha zote na kila kitu unachojua ila.kama niuongo block itakuhusu soon
😂😂😂😂 wewe uniblock mimi?

Makubwa hivi Unique Flower nani asiye kujua?

Wasumbue hao hao ambao hawakujui ila sio mimi ila sio mimi😂😂😂

Sio wewe ulie kuwa unalia huko pm kuwa ujibiwe uwezi rudia tena et bado unampenda 😂😂😂😂

Nikwambie kaa kimya tu fanya fyooo 😂😂
 
😂😂😂😂 wewe uniblock mimi?

Makubwa hivi Unique Flower nani asiye kujua?

Wasumbue hao hao ambao hawakujui ila sio mimi ila sio mimi😂😂😂

Sio wewe ulie kuwa unalia huko pm kuwa ujibiwe uwezi rudia tena et bado unampenda 😂😂😂😂

Nikwambie kaa kimya tu fanya fyooo 😂😂
ni mwendo wa kulipuana tuuu 😅😅😅
 
jf imekuwa ya kishenzi kupita maelezo.. mie huko nimeambiwa nachezea watoto wa kike na kuwatelekeza ukiwaukiza nimalala nani hawajibu 😅😅😅😅pa hovyo sana humu
Watu wachache kuna mzee mmoja na maind sana hapa jf nilikuwa nipo bise na jukwaa la siasa kaanza kutmbea pm za watu kunizushia ya kunizushia
 
Back
Top Bottom