Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,487
- 65,822
Wewe atapewa baba watoto tu
Acha bas na sisi tunataka kujua
Wewe atapewa baba watoto tu
Ipi na upi na ndoa yakoKabisa mm kanishinda tabia
Wewe ndio unaharibu ungejuaniambie unataka nini😁
Pole sana 😂😂😂 kazi unayo endelea sana jitahidi basi kuwa na haiba ya kike 😂😂😂😂Hunijui labda mie sigombani na mtu wanakuja wenyewe pole .
Kuja na ID YAKO MI NDIO NITAKUJIBU
Ndoa ya mchongo 🤣🤣🤣Ipi na upi na ndoa yako
Nawewe kuwa na zotePole sana 😂😂😂 kazi unayo endelea sana jitahidi basi kuwa na haiba ya kike 😂😂😂😂
Sikupendi tu walahinimeharibu nini mama, kama husemi ntajuaje😅
Lini na wapi?? Saa ngapi?? Wapi ?? Ilikuwa ijioni au usiku??aisee, sasa mbona siku ile ulisema unanitaka😅
Mwaga kama unaile picha weka nipate danga lakushika hiyo miguuunitamwaga mchele hapa😅
😂😂😂😂 kumekucha sasa wewe ukijiangalia vizuri tu ni mtu?Nawewe kuwa na zote
Nakuja mheshimiwq on my way 🚴Mwachiluwi mbunge hebu njoo mara moja
Haya leta mafile yote uniwekee hadharani na picha zote na kila kitu unachojua ila.kama niuongo block itakuhusu soon😂😂😂😂 kumekucha sasa wewe ukijiangalia vizuri tu ni mtu?
Nakuonea huruma 😂😂😂😂 nikishuka na file lako hapa utashangaa 😂😂
Vipiii yule bwana ulienda pm na kujichatisha siku nzima na ukujibiwa pm 😂😂😂😂
Wewe dada nyamaza 😂😂😂
Mh huu mkoa nahama hapafai pamechafuka sana sikuizMwachiluwi mbunge hebu njoo mara moja
😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥na bado kuna vingine namletea, sandals ndio umegoma kunisaidia kuchagua
Mwenzio nikipenda, napenda familia yote mpk mifugo ya nyumbani kwenu![]()
Ile kweli imekaa kichangamsha gengeile ilikuwa changamsha genge
Unajua tunaigiza? Mimi na Kantri tunamaanisha. Na tunagombanaga Kweli



Unapenda hadi mifugo🤣🤣🤣🤣Anne unacheka nini??
Ujue mimi mzungu hata cake nikiamua nakubless ule mpishi
Ile kweli imekaa kichangamsha genge
Nilicheka nilitaka kuzimia
Comment sasa ndo kabisaa
Sijui ulicopy wapi ile stori.
Kumbe mko serious
Nilijua mnaact
Mungu awasimamie![]()




Unapenda hadi mifugo
Cake ya kupika mwenyewe kuila hainogi
Raha ya cake apike mwingine.


