Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nawewe kuwa na zote
😂😂😂😂 kumekucha sasa wewe ukijiangalia vizuri tu ni mtu?

Nakuonea huruma 😂😂😂😂 nikishuka na file lako hapa utashangaa 😂😂

Vipiii yule bwana ulienda pm na kujichatisha siku nzima na ukujibiwa pm 😂😂😂😂

Wewe dada nyamaza 😂😂😂
 
😂😂😂😂 kumekucha sasa wewe ukijiangalia vizuri tu ni mtu?

Nakuonea huruma 😂😂😂😂 nikishuka na file lako hapa utashangaa 😂😂

Vipiii yule bwana ulienda pm na kujichatisha siku nzima na ukujibiwa pm 😂😂😂😂

Wewe dada nyamaza 😂😂😂
Haya leta mafile yote uniwekee hadharani na picha zote na kila kitu unachojua ila.kama niuongo block itakuhusu soon
 
Ile kweli imekaa kichangamsha genge

Nilicheka nilitaka kuzimia

Comment sasa ndo kabisaa

Sijui ulicopy wapi ile stori.


Kumbe mko serious
Nilijua mnaact
Mungu awasimamie

Mimi napenda kufurahi afu usichokijua mimi ni mcha Mungu. Sema kuna muda roho mtaka fujo ananivaa

Afu kukosa Kantri kuna kituko kingine nilitaka kukileta mvunje mbavu
 
Back
Top Bottom