YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Ile kweli imekaa kichangamsha genge
Nilicheka nilitaka kuzimia
Comment sasa ndo kabisaa
Sijui ulicopy wapi ile stori.
Kumbe mko serious
Nilijua mnaact
Mungu awasimamie[emoji3589]
Mimi napenda kufurahi afu usichokijua mimi ni mcha Mungu. Sema kuna muda roho mtaka fujo ananivaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu kukosa Kantri kuna kituko kingine nilitaka kukileta mvunje mbavu