Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Njoo na ID YAKO tulioizoea unichambe sio hiyoπππ jamani unatia huruma uonapo mifupa jua wapo walio kula nyama wakaacha mifupa πππππ
Njoo na ID YAKO tulioizoea unichambe sio hiyoπππ jamani unatia huruma uonapo mifupa jua wapo walio kula nyama wakaacha mifupa πππππ
πππ kumekucha huna hadhi ya kugombea bwana na mimi ππππMtu analia anaona ndege anapaaa kama emirates pole labda next year nitamrudisha akiwa kanenepa maana sasa hivi amekomaa kama wewe Mydevran katulie kwenye upepo wa bahari usije ukafee na preshaa njoo na ID yako tuliokuzoea ndio unichambee
Hiyo namba atume kwangu ni forwad kwako
Abiria chunga mzigo wako

wala sina matumizi nayo ndio maana inabidi atumike mtu mwingine tena naye atamuingizia kupitia wakalaHunijui labda mie sigombani na mtu wanakuja wenyewe pole .πππ kumekucha huna hadhi ya kugombea bwana na mimi ππππ
Unique potezea bhna hivi kweli unampenda mtu ujawai muona? Ndoa yangu sasaiv iko moto sitak kelele za majiraniHivi nawewe unaamini nakupendaga walahi mie sijawahi kukupenda serious
wala sina matumizi nayo ndio maana inabidi atumike mtu mwingine tena naye atamuingizia kupitia wakala



Wee mchugga utanifanya niwe chiziNajua unanizinguanakuamini bana natania tu
Unakumbuka kuna siku nilikuambia nitakuungisha cake ukanichukulia powa powa, si umeona babe kafanya yake
Nakumbuka wema wako wa kumnunulia bi mkubwa vitenge. U deserve more kuliko cakeWee mchugga utanifanya niwe chizi
Najua unanizingua
Kama ulivyomzingua mzungu Koko ukamtelekeza mazima
Kumbe nyie hii kapo siyo ya mchezo mchezo
Endelea kushikilia hapo hapo dada
Mie niendelee kupata oda![]()


ile ilikuwa changamsha gengeNakumbuka wema wako wa kumnunulia bi mkubwa vitenge. U deserve more kuliko cake


na bado kuna vingine namletea, sandals ndio umegoma kunisaidia kuchagua 


Utajazia na maji!ππππππ
Sishibi hapo
Niliwamiss pia!βΊοΈβΊοΈMpishi tulikumissπ
mshamba_hachekwi dada yako unaomuona mdomo ipo siku utamponzq 1π€£π€£π€£Mjep nilitaka kumfukua mpenzi wako hadi aje amekuja na ID mpya anadai nikukome ila angekuja pm kama ipo wazi nichambwe ila kweli nimeifunga ila ningechambwa sana
Mdomo utaniponza sijamfuata mtu mie nimefuatwa nisiseme nani aniponzee nimepitia mengi nyie watoto so mie siogopagi hata awe na picha zangu za ukweli akanitishia anapost apost.tu tena namuongezeamshamba_hachekwi dada yako unaomuona mdomo ipo siku utamponzq 1π€£π€£π€£
Mie waje wote wanichambee wakimaliza sura hawana
Ahaahahha embu tupe briefly uliyo yapitia π€£π€£Mdomo utaniponza sijamfuata mtu mie nimefuatwa nisiseme nani aniponzee nimepitia mengi nyie watoto so mie siogopagi hata awe na picha zangu za ukweli akanitishia anapost apost.tu tena namuongezea
Wewe atapewa baba watoto tuAhaahahha embu tupe briefly uliyo yapitia π€£π€£
Ninayo asanteendelea kuchangamsha genge, leo nataka nikutumie vochaπ
Kabisa mm kanishinda tabia