Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtu analia anaona ndege anapaaa kama emirates pole labda next year nitamrudisha akiwa kanenepa maana sasa hivi amekomaa kama wewe Mydevran katulie kwenye upepo wa bahari usije ukafee na preshaa njoo na ID yako tuliokuzoea ndio unichambee
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumekucha huna hadhi ya kugombea bwana na mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
nakuamini bana natania tu
Unakumbuka kuna siku nilikuambia nitakuungisha cake ukanichukulia powa powa, si umeona babe kafanya yake
Najua unanizingua

Kama ulivyomzingua mzungu Koko ukamtelekeza mazimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Kumbe nyie hii kapo siyo ya mchezo mchezo😍😍😍πŸ”₯πŸ”₯
Endelea kushikilia hapo hapo dada
Mie niendelee kupata odaπŸ˜‚
 
Mjep nilitaka kumfukua mpenzi wako hadi aje amekuja na ID mpya anadai nikukome ila angekuja pm kama ipo wazi nichambwe ila kweli nimeifunga ila ningechambwa sana
 
Mdomo utaniponza sijamfuata mtu mie nimefuatwa nisiseme nani aniponzee nimepitia mengi nyie watoto so mie siogopagi hata awe na picha zangu za ukweli akanitishia anapost apost.tu tena namuongezea
Ahaahahha embu tupe briefly uliyo yapitia 🀣🀣
 
Back
Top Bottom