Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe kweli nampenda Mjep kama ameoa aseme mie nampenda namkubali hakuna humu ambaye nitakuwa naye zaidi yako babe wangu yaani ujue hapa natamani nikamwogeshe tu mpenzi wangu katoka kazini kachoka nimfanyie massage na mafuta ya olive oil huku akiwa anapewa maneno yenye hisia kali ya mapenzi wanguu kweli mwambieni i love him so much
Ninajua vizuri umetumwa na masikini wenzio mmezoea kudanga ndio maana kukicha unawaza wanaume urimbukeni unakusumbua
 
Napenda wanawake hustlers, nitakuungisha hiyo ya 1kg japo sikuwa nahitaj. Weka njia za malipo nione nafanyaje kulipia
Asante Mkuu,Ubarikiwe.

Unaruhusiwa kumnunulia hata rafiki,ndugu ,hata Mimi mwenyewe ni ruhusa kuninunulia😂

Malipo napokea kwa namba yangu ya simu ama wakati wa delivery.
 
Humu walizingua saivi nimeamua kuwa mpenzi wangu ni kuchart kama hanipendi wa sasa basi mie nipo tu kama wewe
Ahahah unachekesha sana unapotaka kula wewe wenzio washakula mda tumekuachia mfupa uangaike nao nyama tumemaliza cheza kwa step usije jikuta nakulipua vibaya 😂😂😂😂
 
20230810_151722.jpg
 
Back
Top Bottom