Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

aahahaaa.. ebu kunywaaa maji kwanzaaa... imekuwaaa tuuuu pesonali.. We dogo nikutongeze kwa kitu gani ulicho nacho special.. acha ushamba wa kupakiziana umetongozwaa.. siwezi kukutongoza banaa.... kama ulihisi nakutongoza ondoa hilo wazo..
Take it easy, huu mchezo ni zaidi ya price za share ya Berkshire Hathaway 😂😄🤣
 
ebu tulia basi bibi bombaaa.. .😀😀😀😀
picha ya mwanaume unataka uone nini weye ajuza... [emoji28][emoji28][emoji28]
Mie mwambamba kinoma upepo tu ukipuliza huwa unanipepelusha, alie kuambia hajakosea sema hapo pa kitambii... kakulisha tangooo.... alafu usinichafue banaa.. mie siwezi kukutingoza we kikongwee.. sina mda huoo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli??
 
aahahaaa.. ebu kunywaaa maji kwanzaaa... imekuwaaa tuuuu pesonali.. We dogo nikutongeze kwa kitu gani ulicho nacho special.. acha ushamba wa kupakiziana umetongozwaa.. siwezi kukutongoza banaa.... kama ulihisi nakutongoza ondoa hilo wazo..

Ulijuaje?? Nakunywa maji nakaribia lita 5 sasa kichwa kinaniuma.

Basi yaishe mtu wangu naona utani utaelekea kubaya bure tuanze kupishana km bus za mkoa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli??
eeeh! ni mwembamba kichizi na mmbishi kinoma kula... upepo siku moja ulinibamiza ukutani.. bila hivyo ningepeperushwaa...

so acha kusikilizia maneno ya uongo sijui na kitambi.. wana kuchuuza... tu bwana mdogo
 
eeeh! ni mwembamba kichizi na mmbishi kinoma kula... upepo siku moja ulinibamiza ukutani.. bila hivyo ningepeperushwaa...

so acha kusikilizia maneno ya uongo sijui na kitambi.. wana kuchuuza... tu bwana mdogo

Weka pic nione ulivyo betina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom