Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,414
- 96,739
Buza ni gari la Moshi ehh🤔🤒Ipo Buza huku 😅
Buza ni gari la Moshi ehh🤔🤒Ipo Buza huku 😅
Eeh halafu unashuka round about ya Kigogo utakua umefika.Buza ni gari la Moshi ehh🤔🤒
Wazee huwa hatusemi uongo Mjukuu 🤪🤗Mhmm!! Uongo![]()
Sasa utaponaje hicho kichwaDawa naziogopa, ni flu inanisumbua nilipo kuna baridi na upepo mkali
Hapa nakunywa maji tu!!
Hahaha haha, sawaNitakusubiria🥂
Ugomvi wa ngumi huo kabisa!!!😰😰sasa haya ndio mambo ya nyie kugombana.. ukilala huku lazima amind
Njaa Kali bro, nataka tu heka twa kupiga mshindo kiasi ty.Kule kuna scheme za umwagiliaji
Watu wametengeneza vitalu then kuna kuwa na zamu ya kuachia maji yaingie kwenye vitali vyenu kulingana na zamu.
Ila kama una hela unaweza kuchukua eneo lolote kubwa mahari then uchimbe Kisima ufunge system ya umwagiliaji.
Ukiweza kujitegemea kwenye hili unaweza kuvuna mazao mengi wakati huu wa Kiangazi
Sh the Lakeland rmdEeh halafu unashuka round about ya Kigogo utakua umefika.
Ukikwama nipigie nitakufata hapo
Huyu mwalimu wa Mathe atakoma 😁😁Muda wa kutoa kitu frim mwalimu wa maseView attachment 2708049
Ume nyoaa🤣😂😂🏃Saint Anne njoo uone nywele zetu!!!
View attachment 2708059
View attachment 2708058
Cc
Mzee wa kupambania
Umechelewa....🥴🥴Woooaah 😍😍 naomba uporo wangu
Dah lazima ajinyonge 😂🤣🏃Huyu mwalimu wa Mathe atakoma 😁😁
Muda mrefu sana....mpaka zimekua!!!🙄Ume nyoaa🤣😂😂🏃
Vizuri🤗,Muda mrefu sana....mpaka zimekua!!!🙄
Ndio mimi huyuHuyu mwalimu wa Mathe atakoma![]()
Basi tembelea Ubaruku - Mbarali mwezi huu maana ndiyo muda unaweza kupata mashamba kwa kukodisha au kununua piaNjaa Kali bro, nataka tu heka twa kupiga mshindo kiasi ty.