Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

aahahaaa.. ebu kunywaaa maji kwanzaaa... imekuwaaa tuuuu pesonali.. We dogo nikutongeze kwa kitu gani ulicho nacho special.. acha ushamba wa kupakiziana umetongozwaa.. siwezi kukutongoza banaa.... kama ulihisi nakutongoza ondoa hilo wazo..
Take it easy, huu mchezo ni zaidi ya price za share ya Berkshire Hathaway 😂😄🤣
 
ebu tulia basi bibi bombaaa.. .😀😀😀😀
picha ya mwanaume unataka uone nini weye ajuza...
Mie mwambamba kinoma upepo tu ukipuliza huwa unanipepelusha, alie kuambia hajakosea sema hapo pa kitambii... kakulisha tangooo.... alafu usinichafue banaa.. mie siwezi kukutingoza we kikongwee.. sina mda huoo

kweli??
 
aahahaaa.. ebu kunywaaa maji kwanzaaa... imekuwaaa tuuuu pesonali.. We dogo nikutongeze kwa kitu gani ulicho nacho special.. acha ushamba wa kupakiziana umetongozwaa.. siwezi kukutongoza banaa.... kama ulihisi nakutongoza ondoa hilo wazo..

Ulijuaje?? Nakunywa maji nakaribia lita 5 sasa kichwa kinaniuma.

Basi yaishe mtu wangu naona utani utaelekea kubaya bure tuanze kupishana km bus za mkoa
 
Ulijuaje?? Nakunywa maji nakaribia lita 5 sasa kichwa kinaniuma.

Basi yaishe mtu wangu naona utani utaelekea kubaya bure tuanze kupishana km bus za mkoa
tatizo lako nakuambia njoo nikukande... wala kichwa kisingekuuma tatizo ubishi wakoo tu.. utafikiri nitaibebaa

Ila pole mdogo wangu!
Pona kichwa ukae sawa
 
Back
Top Bottom