National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
ahaha! sitaki.. weka yako kwanza umesimama tuone churaWeka pic nione ulivyo betina![]()
ahaha! sitaki.. weka yako kwanza umesimama tuone churaWeka pic nione ulivyo betina![]()
tatizo lako nakuambia njoo nikukande... wala kichwa kisingekuuma tatizo ubishi wakoo tu.. utafikiri nitaibebaa
Ila pole mdogo wangu!
Pona kichwa ukae sawa




sema stock mzunguko wake wa pesa nimdogo kulingnisha na forex.. target yangu mbeleni ku deal na soko la gold tuuMkuu Kama unazo, Kuna vi kampuni vidogo vina rise sana- China Wana tu small rising companies.
👉 Usa ndo USI pime, angalia kipindi Cha shark tank- Kuna vi kampuni Kama njugu😄😃
kiduchuu tu ka kichwaaa 😅 😅Uje unikande kichwa??? We sikuamini kabisaa utanizidishia ugonjwa![]()
ahaha! sitaki.. weka yako kwanza umesimama tuone chura




Au kampuni za mafuta na usafirishaji.sema stock mzunguko wake wa pesa nimdogo kulingnisha na forex.. target yangu mbeleni ku deal na soko la gold tuu
kiduchuu tu ka kichwaaa![]()
![]()
Pole kwa maumivu. tumia maji lala ukiamka hutosikia maumivu tena





Ndo nini huko daslam 🤒😁
Basi mzuka, acha leo Nika jaribu bangi😃😄🤒Mimi nilikua nachukulia utani mbona pacha, sema kuna watu walijua tuko serious ndiomana mtu chake nilimwambia huyo tunataniana tunajuana!! Lkn nikaona wapambe wengi wanaforce iwe ukweli![]()
basi flat tumbo tulione.. tukiondoa tu rangiii umekwishaaa 😅 😅Chura nimtoe wapi ndugu yangu mi flat nimepigwa pasi a.k.a nimedondokea bafuni
Nimebarikiwa karangi tyuu ka kuonekana kwenye camera
ni kufatilia kwa ukaribu, ila hela huko ipo nyingi sanaaaNi kweli, ukiwa na mtaji una toboa, imagine hisa za net flix- huwa Zina shuka mpaka 90 dollar- ziki panda Hadi 180 aisee😄😃
Basi mzuka, acha leo Nika jaribu bangi![]()



wee pacha hizo tuachie sisi wewe utavua nguo uniaibishe bure na mawifi wakukimbieUnataka ukuni tu, utapona hapoo..Nimefanya hivyo flu inanitesa, nimeongea na x kwenye simu ananiambia umenimiss anahisi nambania sauti kumbe mwenzie nimezidiwa![]()
basi flat tumbo tulione.. tukiondoa tu rangiii umekwishaaa![]()
![]()



niwacheeeee emu kichwa chaniuma so ukinichekesha mishipa inakaza inauma Ma WiFi zako wanna miye yusho, vijembe vya Jana SI mchezo😄😃😂😂wee pacha hizo tuachie sisi wewe utavua nguo uniaibishe bure na mawifi wakukimbie
Unataka ukuni tu, utapona hapoo..



Si ndio nitakufa na huo ukuni miye, najua sitokubali kushindwa nitataka battle mwisho itakuwa “Bwana alitoa, Bwana ametwaa.”Sina picha, mtoto wa kiume na picha picha wapi na wapi... wewe pambo tupia mbili tatu niziombee upone kichwaaniwacheeeee emu kichwa chaniuma so ukinichekesha mishipa inakaza inauma
Kweli hebu nitumie pic nikuone best
Ukuni ni dawa ya maumivu shauli yakoSi ndio nitakufa na huo ukuni miye, najua sitokubali kushindwa nitataka battle mwisho itakuwa “Bwana alitoa, Bwana ametwaa.”