Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilizitupa kule kule naona karatas za kuandika taarifa za wagonjwa wanamliza kuandika namba[emoji23][emoji23]
Hapo hujatekeleza jukumu lako la msingi la kuiondosha hiyo hali.

Kuna namna ungewa intimidate, afu baadaye sms za huyu unamtumia yule za yule unamtumia mwingine, afu unawaambia tukutane kwa mganga mkuu kuthibitisha kama leseni zinawataka kufanya hivyo.

Ungesaidia wafocus kwenye kazi na siyo uvuvi.

Trust me, wewe ulipata huduma nzuri, hospitality nzuri na kuna wengine wameharakishwa waondoke ili watu kama wewe wapewe kipaumbele kinyume na utaratibu.

Next time be part of the change you want
 
Hatuna weekend
20230723_180755.jpg
 
Mimi wivu jamani wivuuu kama nyenyere

Wewe hunizidi mimi!!! Mwenzio nakua kichaa kabisaaa nishamzaba vibao sana baby wangu, sema ananionea huruma kunizibua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nishavunja vioo vyake vya gari mpk nimechokaaaa yani, acha tu namblock nikimmiss namu unblock najifanya km sio mimi
 
Back
Top Bottom