Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila twende turudi nyuma mnywani Unajua wewe Ni mnoma. Oyaaa miaka iyo National Anthem ulikua wapi mpaka mtoto akatekwa
Mweh mie Humu nawawezeaa wapiii siwaweziii mnywanii 🙌🙌🙌!
Nipo napambana nahare yanguuu tyuuuu!! 🤠🤠🤠!!

Mjombaaa yupo anaenjoy mavituz saiii!!
Sie tulozeeka tunapambana naharee zeityuuu no Way!😊
 
Nilizitupa kule kule naona karatas za kuandika taarifa za wagonjwa wanamliza kuandika namba
Hapo hujatekeleza jukumu lako la msingi la kuiondosha hiyo hali.

Kuna namna ungewa intimidate, afu baadaye sms za huyu unamtumia yule za yule unamtumia mwingine, afu unawaambia tukutane kwa mganga mkuu kuthibitisha kama leseni zinawataka kufanya hivyo.

Ungesaidia wafocus kwenye kazi na siyo uvuvi.

Trust me, wewe ulipata huduma nzuri, hospitality nzuri na kuna wengine wameharakishwa waondoke ili watu kama wewe wapewe kipaumbele kinyume na utaratibu.

Next time be part of the change you want
 
Back
Top Bottom