Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli udugu hakuna watu wanachanganyikiwa na ndoa km walimu. Walimu ukiwakuta story zao Mr kafanya hivi, Mr kafanya vile

Mimi nawashauri wanaume wanaotaka mitaji wadate walimu, wanaenda kuombewa mikopo buree kazi yake ni kumbebisha nitakuoa
🤣🤣🤣🤣🤠🤠! Unanisema uduguuu hahahaaa

Kama wanataka wafe njaa waje kwa walimu😁😁🤠!!
Msiseme sijawaambia🤣🤣!!
In Mpwayungu voice 😂
 
Kweli udugu hakuna watu wanachanganyikiwa na ndoa km walimu. Walimu ukiwakuta story zao Mr kafanya hivi, Mr kafanya vile

Mimi nawashauri wanaume wanaotaka mitaji wadate walimu, wanaenda kuombewa mikopo buree kazi yake ni kumbebisha nitakuoa
Hii Ina ukweli hahahahhah ukiwakuta wamekaa staff story ni hizo,
 
Kweli udugu hakuna watu wanachanganyikiwa na ndoa km walimu. Walimu ukiwakuta story zao Mr kafanya hivi, Mr kafanya vile

Mimi nawashauri wanaume wanaotaka mitaji wadate walimu, wanaenda kuombewa mikopo buree kazi yake ni kumbebisha nitakuoa
Usiwasahau manesi na wake wa Ascari
Heeee baba nanii this....Mr this.....yaani mme wangu that mxxxxiiew
 
Back
Top Bottom