Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,215
🤣🤣🤣🤣🤠🤠! Unanisema uduguuu hahahaaaKweli udugu hakuna watu wanachanganyikiwa na ndoa km walimu. Walimu ukiwakuta story zao Mr kafanya hivi, Mr kafanya vile
Mimi nawashauri wanaume wanaotaka mitaji wadate walimu, wanaenda kuombewa mikopo buree kazi yake ni kumbebisha nitakuoa![]()
Kama wanataka wafe njaa waje kwa walimu😁😁🤠!!
Msiseme sijawaambia🤣🤣!!
In Mpwayungu voice 😂





