mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,936
Sure, kingine sie wavivu wa kusaka information. Ila kama Una taarifa zote muhimu na ukajipanga unaenda huko... Sehemu inayobakia moyoni mwangu nje ya Tanzania huwa ni United Kingdom... Hayo maneno mawili tu ndio naweza nikaishi na kufurahia maisha yangu..Mazee kwenda kwenye nchi kama UK, Canada au Marekani kuna faida zake nyingi mno tu. Jambo la msingi ni kujenga daraja la kwenda na kurudi utakavyo. Sema tatizo wabongo tuna kawoga fulani hivi ambako siyo powa na kanaturudisha nyuma.
Mpango gani tenaNajua unanionaga na nafuu kichwan, ebu nifanye mpangoo dada yanguu..![]()
😂😂😂😂
ole wako uzingue😅😂😂😂😂
Naileta PM usilale
Picha ni kitu ya kukunyima jaman😂ole wako uzingue😅
OK mkuu nifanyie mpangoJokes aside bruv! Mbona kwenda nje inawezekana mazee....
Inabidi upate ushauri mzuri, ujue unaenda nchi gani na kwa malengo gani...
Kumbe mitaa yako🥰
Mm naenda keshokutwa nikupitie😀😀Sure, kingine sie wavivu wa kusaka information. Ila kama Una taarifa zote muhimu na ukajipanga unaenda huko... Sehemu inayobakia moyoni mwangu nje ya Tanzania huwa ni United Kingdom... Hayo maneno mawili tu ndio naweza nikaishi na kufurahia maisha yangu..
pilipili ikowapi aisee😂Muda tayarView attachment 2695255
He is!!!!Bila shaka mnatuandalia series nyingine nzuri eh
babu wa mchongo😂View attachment 2695258
Wale waliokwepo miaka ile ya 70s watakuwa wanaelewa aina hii ya mikato tuliyokuwa tunavaa Vijana wa zamani, nimefanya kuwapa picha ya Babu yenu miake ile ya 70s 🤪🤗
Hello Friday 🥂
Hata kazi zinafanyika kwa wepesi!!!!That view👌
Walevi utawajua tu 😂😂😂bila pilipili mambo hayaendipilipili ikowapi aisee😂
Yeahh...😊Kumbe mitaa yako🥰
Nipe connection ya mdhungu kwanza, nimechoka kuishi bongo mimi