Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna matukio nikiyakumbuka huwa naishia kucheka sana. Miaka hiyo wabeba box waliwasumbua mno wala vumbi. Wao wanatema ung'eng'e tu watoto washaingia line. Baadaye unasikia kilio, na ID inaachwa kutumika. Kuna wengine walikuwa wanajifanya wanawake kumbe midume, akina Gilesi a.k.a Comrade Bujibuji 🤣 🤣 🤣
😅😅😅😅 Walipigwa sana za uso.. kuna mmoja jamaa alinichomesha nikapoteza laki mbili na mzigo sikula sijui alimpanga yule manzi.. nikaishia lipa hotel manzi akaja na wenzake wamekula maisha na poketi money nimeipa mawe mawili na mzigo nikanyimwaaa... nikikumbuka jamaa nacheka na ID yake hadi Leo naitazamaga tu nakausha.. mchezo aliocheza sikuupenda Ila nikakubali poteza pambano 😅😅😅
 
😅😅😅😅 Walipigwa sana za uso.. kuna mmoja jamaa alinichomesha nikapoteza laki mbili na mzigo sikula sijui alimpanga yule manzi.. nikaishia lipa hotel manzi akaja na wenzake wamekula maisha na poketi money nimeipa mawe mawili na mzigo nikanyimwaaa... nikikumbuka jamaa nacheka na ID yake hadi Leo naitazamaga tu nakausha.. mchezo aliocheza sikuupenda Ila nikakubali poteza pambano 😅😅😅
Bwahaha, mazee pole sana. Nacheka kama mazuri vile, naona na wewe uliliwa kichwa.....
 
Back
Top Bottom