Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Boss wako ... Boss wa Tanzania nzimaa.. weekend niliwaone wengi Sanaa mahalaa..

C.c The Boy Wonder
Weee mimi ni housegirl, boss wangu yuko serikalini alihamishiwa dodoma ila familia yake iko dar hivyo huwa anaenda kuiona mara kwa mara, kwahiyo akienda dar lazima niende naye na dodoma lazima nirudi naye
 
Basi wazee kama hawa vijana wa hovyo hamuwezi kushindana nao kabisa humu ndani 🤣
Huwa wanakuwa na mkono mrefu mno, PM zao zimejaa NEEMA na UTUKUFU tu...
😅😅😅😅
Vijanaaa wa hovyoo wataishia imba mapambioa tuu... Mikono yao mifupi hata kichwani haifiki.. alafu wanataka kupima mkono unao enda Hadi nyumba ya jirani
 
Back
Top Bottom