Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aahh sasa hiyo mbona ni kawaida tu, watumishi wengi wanaoendeshwa kwenye hayo magari ambao walihamishiwa dodoma na wana familia zao dar, huwa wanasafiri sana na mahousegirl na mahouseboy wao humo kwenye hayo magari
Najua unanionaga na nafuu kichwan, ebu nifanye mpangoo dada yanguu.. 😊😊😊
 
Nje naonaga kama unataka kupata exposure.. Ila life bongoo tuuu. Ingawa nilikuwa kina kipindi napenda Sana maisha yangu nimalizie U.K
Mazee kwenda kwenye nchi kama UK, Canada au Marekani kuna faida zake nyingi mno tu. Jambo la msingi ni kujenga daraja la kwenda na kurudi utakavyo. Sema tatizo wabongo tuna kawoga fulani hivi ambako siyo powa na kanaturudisha nyuma.
 
Mazee kwenda kwenye nchi kama UK, Canada au Marekani kuna faida zake nyingi mno tu. Jambo la msingi ni kujenga daraja la kwenda na kurudi utakavyo. Sema tatizo wabongo tuna kawoga fulani hivi ambako siyo powa na kanaturudisha nyuma.
Sure, kingine sie wavivu wa kusaka information. Ila kama Una taarifa zote muhimu na ukajipanga unaenda huko... Sehemu inayobakia moyoni mwangu nje ya Tanzania huwa ni United Kingdom... Hayo maneno mawili tu ndio naweza nikaishi na kufurahia maisha yangu..
 
20230721_100635.jpg
20230721_100558.jpg
 
Sure, kingine sie wavivu wa kusaka information. Ila kama Una taarifa zote muhimu na ukajipanga unaenda huko... Sehemu inayobakia moyoni mwangu nje ya Tanzania huwa ni United Kingdom... Hayo maneno mawili tu ndio naweza nikaishi na kufurahia maisha yangu..
Mm naenda keshokutwa nikupitie😀😀
 
20230721_134732.jpg

Wale waliokwepo miaka ile ya 70s watakuwa wanaelewa aina hii ya mikato tuliyokuwa tunavaa Vijana wa zamani, nimefanya kuwapa picha ya Babu yenu miake ile ya 70s 🤪🤗

Hello Friday 🥂
 
Back
Top Bottom