Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha mdogo wangu hivi kiswahili ulipataga ngapi shuleni, si nimetoka kusema hapo kwamba Boss wangu yuko serikalini so obviously hilo gari ni lake, mie huwa nalipanda nikiwa nasafiri naye tu
😅😅😅
House girl unatumia LC300, nifanye mpangooo life limenichapaaaa

The Boy Wonder umeona sasa kwanini napishana na huyu dada yangu... Anafuata upepo Tu wa boss ndani ya chuma cha moto
 
😅😅😅
House girl unatumia LC300, nifanye mpangooo life limenichapaaaa

The Boy Wonder umeona sasa kwanini napishana na huyu dada yangu... Anafuata upepo Tu wa boss ndani ya chuma cha moto
Halafu LC300 lenyewe ni Twin-Turbo....
Kwakweli mchwa chake ni kichuguu, milima waachie ngedere....
 

House girl unatumia LC300, nifanye mpangooo life limenichapaaaa

The Boy Wonder umeona sasa kwanini napishana na huyu dada yangu... Anafuata upepo Tu wa boss ndani ya chuma cha moto
Aahh sasa hiyo mbona ni kawaida tu, watumishi wengi wanaoendeshwa kwenye hayo magari ambao walihamishiwa dodoma na wana familia zao dar, huwa wanasafiri sana na mahousegirl na mahouseboy wao humo kwenye hayo magari
 
Aahh sasa hiyo mbona ni kawaida tu, watumishi wengi wanaoendeshwa kwenye hayo magari ambao walihamishiwa dodoma na wana familia zao dar, huwa wanasafiri sana na mahousegirl na mahouseboy wao humo kwenye hayo magari
Najua unanionaga na nafuu kichwan, ebu nifanye mpangoo dada yanguu.. 😊😊😊
 
Nje naonaga kama unataka kupata exposure.. Ila life bongoo tuuu. Ingawa nilikuwa kina kipindi napenda Sana maisha yangu nimalizie U.K
Mazee kwenda kwenye nchi kama UK, Canada au Marekani kuna faida zake nyingi mno tu. Jambo la msingi ni kujenga daraja la kwenda na kurudi utakavyo. Sema tatizo wabongo tuna kawoga fulani hivi ambako siyo powa na kanaturudisha nyuma.
 
Back
Top Bottom