mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
umewaza mbali, wala siko hivyo😂Walevi utawajua tu 😂😂😂bila pilipili mambo hayaendi
pilipili na dagaa ni noma, jaribu uone😂
umewaza mbali, wala siko hivyo😂Walevi utawajua tu 😂😂😂bila pilipili mambo hayaendi
Sawa nitajaribu😀umewaza mbali, wala siko hivyo😂
pilipili na dagaa ni noma, jaribu uone😂
Sawa nitajaribu😀
Akinipeleka kwao aki sirudii, nitaficha hata passport 😅Yeahh...😊
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu anapatamani huku....mtakaa 6months TZ....6months kwao!!!🙂
Unajitolea kubaki kuangalia nyumba yenu!!!!!😁Akinipeleka kwao aki sirudii, nitaficha hata passport 😅
Yeye aje tu huku akae hata mwaka me aniache huko, akirudi atanikuta🥰
Leo hakuna msosi??
Mpe no zangu tasavali🥰
Si ndio, vibaka wasije wakavunja wakiona hamna mtu ndani🤣Unajitolea kubaki kuangalia nyumba yenu!!!!!😁
Punguza kitambiView attachment 2695258
Wale waliokwepo miaka ile ya 70s watakuwa wanaelewa aina hii ya mikato tuliyokuwa tunavaa Vijana wa zamani, nimefanya kuwapa picha ya Babu yenu miake ile ya 70s 🤪🤗
Hello Friday 🥂
Ndio shemeji yetu au ndio mchepuko
Hahaha...................Wazee na Gym wapi na wapi, Si unajua miaka yetu ya 70's hatukuwa na six parks 🤪🏃🏃🏃Punguza kitambi
Babu yenu nimekula chumvi nyingi mjue 🤪babu wa mchongo😂
Punguza iko kitambi bhnaHahaha...................Wazee na Gym wapi na wapi, Si unajua miaka yetu ya 70's hatukuwa na six parks 🤪🏃🏃🏃
Lunch huna karibu wewe