Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Amen 🙏🙏MITHALI 30:8-9
⁸ Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.
⁹ Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
HILO NDILO NENO LA MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Barikiwa Mkuu