Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

DNA km DNA

Halali wawe wanakataza au kuweka bei kubwa, upimaji wake.
Maana ni hatarii sasa.

View attachment 2686689
Thanks for this by the way....😂😂

Leo tu mshkaji wangu kaniambia kuhusu sakata lakuletewa mtoto nikapata kitu chakumchokozea!😄😄😄
Screenshot_20230713_230207_WhatsApp.jpg
 
Niunganishe mimi kwenye kazi ya uhousegirl
Nipo serious.


Niliona ABC wametangaza nafasi ya kazi
Bus hostess.
Jaribu huko.

Gari yao uhakika,Route ya Mbeya ipo na ndio gari ya uhakika siku hizi.
Ndugu zako Sauli wamegeuka matapeli baada ya biashara kuwashinda
Aahh huku niliko sidhani kama utapaweza asee

Waliitangaza lini hiyo nafasi hebu naomba link au mawasiliano yao please

Yani sauli siku hizi sijui wanafeli wapi
 
Ujumbe muhimu sana kutoka kwa Sheikh Kipozeo 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

 
Niunganishe mimi kwenye kazi ya uhousegirl
Nipo serious.


Niliona ABC wametangaza nafasi ya kazi
Bus hostess.
Jaribu huko.

Gari yao uhakika,Route ya Mbeya ipo na ndio gari ya uhakika siku hizi.
Ndugu zako Sauli wamegeuka matapeli baada ya biashara kuwashinda
Sasa kama we huna kazi ,kwann usiombe hapo ABC ?unamwambia mwenzako ajaribu we hutaki?
 
MITHALI 30:8-9

⁸ Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.

⁹ Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.

HILO NDILO NENO LA MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MITHALI 30:8-9

⁸ Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.

⁹ Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.

HILO NDILO NENO LA MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
5 Umkabidhi Bwana njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya.
Zaburi 37:5

6 Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama adhuhuri.
Zaburi 37:6

7 Ukae kimya mbele za Bwana, Nawe umngojee kwa saburi; Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu afanyaye hila.
Zaburi 37:7
 
MITHALI 30:8-9

⁸ Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.

⁹ Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.

HILO NDILO NENO LA MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
Amen 🙏🙏
Barikiwa Mkuu
 
Sasa kama we huna kazi ,kwann usiombe hapo ABC ?unamwambia mwenzako ajaribu we hutaki?
Mimi sitaki kazi ya ukonda
Siwezi purukushani za barabarani.
Nimemwambia Kwa sababu nimeona ameuliza kuhusu hiyo kazi, na mimi niliona tangazo lao.

Kazi nayoiweza ni ubeki tatu maana shughuli zake nyingi ni nyumbani.
 
Back
Top Bottom