Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukweli ni kwamba hata upigike kiasi gani sio kila kazi yafaa kufanya.
Saint Anne na Jadda wanatuchora tu
Mimi kazi yoyote nafanya
Hasa hiyo ya ubeki tatu, haina complications nyingi.

Hiyo ya ukonda wa magari siwezi, Sina hizo nguvu.

Toeni ajira hizo
Siyo tunakuja humu kucheka wote, nyie pesa mnazo na ajira za kutuconnect mnazo ila sisi sasa tunakufa njaa, jobless mtaani.
 
IMG_20230714_080719_468.jpg
IMG_20230714_080903_964.jpg
 
Back
Top Bottom