Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,171
Kwanini asile huko anakoenda??😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣
Au anakoenda hawajui kupika? Yaani kuna watu wanapenda kutumia wenzao hadi sio poa inauma sana

