Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wenzao akina Ishmail wapo peponi huko
Ila siku hizi wanajiita sheik Ubwabwa.

Akiyanani

Joshua
Wanajiita J...ujanja mtupu.

Hawa akina Adam ndo kabisaa
Hao ndo wabaya Zaid 🤣🤣akina abdallah wanajiita dula 😂😂
Abdul nae et dully 🤣🤣🤣
Suleimani Sasa utasikia nite sulesh🤣🤣🤣🤣
 
Hao ndo wabaya Zaid [emoji1787][emoji1787]akina abdallah wanajiita dula [emoji23][emoji23]
Abdul nae et dully [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Suleimani Sasa utasikia nite sulesh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilisahau[emoji23][emoji23][emoji23]
Wapo wenye jina la mwezi mtukufu
Wanajiita Rama.

Eti Dullah yaani aisee jina tu limekaa kitapelitapeli..Hawa wote motoni.
 
Kuna uzi nimesoma asbh
Dada analalamika mumewe anacheat.

Akamkamata mara ya pili na msg,akakataa.


Wanaume wanachangia eti kwanza huyo mwanaume anajua principles za kuchepuka..
Rule no1 ukikamatwa ni kukataa,kutokiri kosa hadi kiama.

Hawa labda watengeneze mbingu yao.
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
 
Usimtajee G Wangu jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena huyo ni Kuni za mbele kabisa
Demu wake mwenyewe eti Coca
Nyie mtakuwa kuni VIP.


Kuna Hawa Mungu alitengeneza majina vizuri akawaita Anthony,
Eti wanajiita Tonny.
 
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
Jitu linachepuka na linakana.
Wanamsifu eti amefata rule za uchepukaji.
 
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom