Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna uzi nimesoma asbh
Dada analalamika mumewe anacheat.

Akamkamata mara ya pili na msg,akakataa.


Wanaume wanachangia eti kwanza huyo mwanaume anajua principles za kuchepuka..
Rule no1 ukikamatwa ni kukataa,kutokiri kosa hadi kiama.

Hawa labda watengeneze mbingu yao.
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
 
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
Jitu linachepuka na linakana.
Wanamsifu eti amefata rule za uchepukaji.
 
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom