cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Usimtajee G Wangu jamanYaani hawa ni moja kwa moja motoni
Wapo na akina G,ni kuzunguzungu





Usimtajee G Wangu jamanYaani hawa ni moja kwa moja motoni
Wapo na akina G,ni kuzunguzungu





Saa moja itapendezaJack Palladino kesho saa ngapi
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.Kuna uzi nimesoma asbh
Dada analalamika mumewe anacheat.
Akamkamata mara ya pili na msg,akakataa.
Wanaume wanachangia eti kwanza huyo mwanaume anajua principles za kuchepuka..
Rule no1 ukikamatwa ni kukataa,kutokiri kosa hadi kiama.
Hawa labda watengeneze mbingu yao.
🤣🤣🤣🤣Yaani hawa ni moja kwa moja motoni
Wapo na akina G,ni kuzunguzungu
Basi nitakunywa 7upUnapenda vitu laini
Bila kusahau akina said kujiita side boy😂😂😂Yaani hawa ni moja kwa moja motoni
Wapo na akina G,ni kuzunguzungu
Tena huyo ni Kuni za mbele kabisaUsimtajee G Wangu jaman![]()
Job which where when?Uoge wapi nakupitia job🤣
Hiyo ndio laini zaidiBasi nitakunywa 7up
Since when?Job which where when?
Ushasahau saivi me ni jobless eeh🤣🤣
Jitu linachepuka na linakana.Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.
Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
Tena hao heeeee hata harufu hawatanusa nakwambia🤣🤣🤣Bila kusahau akina said kujiita side boy😂😂😂
Bila kusahau akina said kujiita side boy![]()









Nakumiss 😃Bila kusahau akina Benard kujitia Benny🤣🤣🤣
😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.
Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
Tena huyo ni Kuni za mbele kabisa
Demu wake mwenyewe eti Coca
Nyie mtakuwa kuni VIP.
Kuna Hawa Mungu alitengeneza majina vizuri akawaita Anthony,
Eti wanajiita Tonny.





nimechekaa hadi baas.Acha tu.Since when?
Wote hawa ni JehanamBila kusahau akina Benard kujitia Benny![]()
Mhh nakupigia
😂😂😂Yaani umeniwahi side boy sio wakusomewa mashtak ni kuongoza njia 🤣🤣🤣
Hawa Side hata mjadala hatuna..ni jehanam moja kwa moja.