Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa Side hata mjadala hatuna..ni jehanam moja kwa moja.
😂😂😂Yaani umeniwahi side boy sio wakusomewa mashtak ni kuongoza njia 🤣🤣🤣
 
😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣
Kwanini asile huko anakoenda??

Au anakoenda hawajui kupika? Yaani kuna watu wanapenda kutumia wenzao hadi sio poa inauma sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi baas.
Khaaah
Kuna hawa jina lao lilikuwa linaelekea kwenye Kristo kabisa
Christopher
Wanajiita akina Chriss

Sijui watamwambia nini Mungu.
 
Kwanini asile huko anakoenda??

Au anakoenda hawajui kupika? Yaani kuna watu wanapenda kutumia wenzao hadi sio poa inauma sana
😀😀Yaani acha tu
Kule anaenda kufanya mazoez ya kiuno 😂😂😂
 
Back
Top Bottom