Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Mimi nimepunguza
Aleji ilinibana.


Ila nimesikitika nywele Nkamu ungeuliza kwanza

mimi pia nna aleji na harufu huwa naumwa kichwa ila siachi ha ha ha

Nkamu nilichoka kusuka na Dodoma hawajui kusuka unasuka gharama nywele mbaya hivyo ilikua inanibidi niwe namuita fundi wangu toka Dar ngoja nipumzike kwanza
 
Introduce yourself

20230713_092706.jpg


Cc; cocastic
 
mimi pia nna aleji na harufu huwa naumwa kichwa ila siachi ha ha ha

Nkamu nilichoka kusuka na Dodoma hawajui kusuka unasuka gharama nywele mbaya hivyo ilikua inanibidi niwe namuita fundi wangu toka Dar ngoja nipumzike kwanza
😭😭😭😭Nkamu ungesema
Kuna fundi hapo Dom ningekupa

Ni fundi haswa,,hakuna nywele inatoka haijui..na anasuka vizuri ,sijawahi kutana na fundi mwingine kàma yeye.
 
Antonnia

Shouzzz akee, nimenenepaa had naogopa, ulikua unasema nanenepa sana, nkawa nakukataliaa, jmos nilivaa suruali fulan, ilikua inapwayaa, eti ikanikaa tyt.

Nimekua km wakat niko 2nd yr, aaah nataka nikondee sasa.

Baadae ntakuwekea uonee chibonge mpyaa mjini.
 
Antonnia

Shouzzz akee, nimenenepaa had naogopa, ulikua unasema nanenepa sana, nkawa nakukataliaa, jmos nilivaa suruali fulan, ilikua inapwayaa, eti ikanikaa tyt.

Nimekua km wakat niko 2nd yr, aaah nataka nikondee sasa.

Baadae ntakuwekea uonee chibonge mpyaa mjini.
Hongera sana udugu akee nasubiria hio blessing kwahamuu!

Na kishepu chako Utakua umenougaaaa balaa!😍
 
Wana selfika kama una kijana mwaminifu na anaweza kufanya kazi vizuri yupo tu nyumbani nicheki pm nahitaji vijana kama wa 7 hivi hawa wawe dar na kesho waje ofisini kuanza kazi tutawapa trending kwaza ambayo ndio kesho lakini pia nahitaji vijana walipo tanga wawe wengi kidogo hawa kazi yao itaanza mwezi uhuu kuhusu mshahara tuna lipa kulingana na dodos ambapo huwa zina badirika sisi hatuna mshahara tunalipa wages lakini pia mtu huyo awe na nssf kadi na TIN number kutoka TRA

Please hawe mwaminifu na kazi zetu mara nying ni nje ya mkoa please hawe mwaminifu sito pendezwa nikipata kijana ajae anisumbue au mtu unampa trening af anakimbia mitini nawasilisha kwenu
 
Back
Top Bottom