Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Mimi nimepunguza
Aleji ilinibana.
Ila nimesikitika nywele Nkamuungeuliza kwanza
![]()
mimi pia nna aleji na harufu huwa naumwa kichwa ila siachi ha ha ha
Nkamu nilichoka kusuka na Dodoma hawajui kusuka unasuka gharama nywele mbaya hivyo ilikua inanibidi niwe namuita fundi wangu toka Dar ngoja nipumzike kwanza

ungeuliza kwanza

