Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

A class of 2001 pamoja na RC wa Mbeya wa Sasa hivi. Pale Misufini
Misufini, kulikuwa na mwalimu maarufu sna anaitwa Kimanda.

Nilipita hapo nikaondoka la tatu, vipi na secondary umesoma huko?
 
Usiniambie mrembo🤣🤣🤣
Kwa anaekumbuka kampeni za mwaka 1995 mrema anagombea uraisi, nilishiriki kusukuma gari lake alipofikia buhemba hotel jirani na Misufini pr. Manyanza,
Buhemba ya Matiko tumeruka Sana disco toto. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom