Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usinikumbusheee, niliwahu pika bagia hizo, hadi kaka akanambia

"Hivi unaona raha sana kuendekeza upumbavu km hutaki kupika si unaacha sio kuleta ujinga wako"

Zile bagia ni mbooo kabisaa, sasa si unajua zina mtindo wa kujikata km cakee, sasa zinginee zikawa km mboo kabisa na kichwaa.

Ulitak ziwe kma katless๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Coca utanivunja mbavu
Sipat picha walivochukia
mama anajibu "huyo ndugu yenu nikisemaga ana kichaa mnaona natania, kwanza nisingemzaa huyu, yai lake ningesumbuka nalo tumboni

Sasa sio mie ni mafuta yalizidi ko bagia zikawa zinajikataa, na ile umbo la 1, ikatengenezaa mboo automatically.
 
mama anajibu "huyo ndugu yenu nikisemaga ana kichaa mnaona natania, kwanza nisingemzaa huyu, yai lake ningesumbuka nalo tumboni

Sasa sio mie ni mafuta yalizidi ko bagia zikawa zinajikataa, na ile umbo la 1, ikatengenezaa mboo automatically.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Ulitak ziwe kma katless
Nilitaka pika vibamaa, nisitoboe kati kati umbo lilivotokaa, kabla sijaanza kuweka kwa mafuta, mama aliharibu vyotee, na matusi juu " huo uwendawazimu kamfanyie marehemu shangazi yako makaburini huko mbwa wewee"
 
Back
Top Bottom