Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 20,001
- 48,527
๐๐๐๐Coca bhnaMlipodamkia leooo ๐๐๐ค ๐ค ๐ค ๐ค ๐๐๐!!
๐๐๐๐Coca bhnaMlipodamkia leooo ๐๐๐ค ๐ค ๐ค ๐ค ๐๐๐!!
Coca Akili zake anazijua mwenyewe walai!!๐๐๐๐Coca bhna
Hivi Mbinguni wanaume watakuwepo kweli?Just imagine
Hao wakifa waoze tu ndani ya sekunde hamna namna
Ulitak ziwe kma katless๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃUsinikumbusheee, niliwahu pika bagia hizo, hadi kaka akanambia
"Hivi unaona raha sana kuendekeza upumbavu km hutaki kupika si unaacha sio kuleta ujinga wako"
Zile bagia ni mbooo kabisaa, sasa si unajua zina mtindo wa kujikata km cakee, sasa zinginee zikawa km mboo kabisa na kichwaa.
![]()
Kuna wachache wema watakuwepoHivi Mbinguni wanaume watakuwepo kweli?
I guess tutakuwa wenyewe.
Coca utanivunja mbavu
Sipat picha walivochukia




mama anajibu "huyo ndugu yenu nikisemaga ana kichaa mnaona natania, kwanza nisingemzaa huyu, yai lake ningesumbuka nalo tumboni 



Labda akina Musa,Ibrahim,Isaka na Yakobo na wale akina AbelKuna wachache wema watakuwepo
Poa mkuuhapa Ohio Mkuu, Akemi
๐คฃ๐คฃ๐คฃmama anajibu "huyo ndugu yenu nikisemaga ana kichaa mnaona natania, kwanza nisingemzaa huyu, yai lake ningesumbuka nalo tumboni
Sasa sio mie ni mafuta yalizidi ko bagia zikawa zinajikataa, na ile umbo la 1, ikatengenezaa mboo automatically.![]()
Acha kabisaaa.Mlipodamkia leooo!!
Iko byeeee keshoEm icheki af utujulishe
Ngoja waje ๐๐๐Labda akina Musa,Ibrahim,Isaka na Yakobo na wale akina Abel
Ila hawa wa sasahivi hakuna atayekuwepo.
Ngoja waje
Musa mwenyew sikuhiz wanajiita moze
Haingii mtu![]()







Hawa wa saivi si wanajitoa ufahamu, af wenyewe wanaona fresh tu.Labda akina Musa,Ibrahim,Isaka na Yakobo na wale akina Abel
Ila hawa wa sasahivi hakuna atayekuwepo.
John umempendelea ni joh๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Na Yohana sikuizi eti ni akina John
Wanaume wakiingia Mbinguni sijui tutaona.
Jack Palladino kesho saa ngapiIko byeeee kesho
Nilitaka pika vibamaa, nisitoboe kati kati umbo lilivotokaa, kabla sijaanza kuweka kwa mafuta, mama aliharibu vyotee, na matusi juu " huo uwendawazimu kamfanyie marehemu shangazi yako makaburini huko mbwa wewee"Ulitak ziwe kma katless![]()



Nyie wakienda tuandamane๐คฃ๐คฃJohn umempendelea ni joh๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Yosef utasikia Jose au J๐๐๐๐๐
Hawa hawaendi
Saa 12 jioniJack Palladino kesho saa ngapi