Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Angekupa usukani wa jikoo mastaa jiko mwenyewe mbona angefurahi naroho yakee lol mi nikikaa nawewe ntapasuka kwa madikodiko!! 😂
Yan utapasuka dear
Nilikuta mama siku moja anamsimulia mtu anamwambia weee Aaliyah anapika huyo balaa hachoki 😂😂😂
Kunakitu nimekumbuka nimecheka sana 🤣🤣🤣
 
Yan utapasuka dear
Nilikuta mama siku moja anamsimulia mtu anamwambia weee Aaliyah anapika huyo balaa hachoki 😂😂😂
Kunakitu nimekumbuka nimecheka sana 🤣🤣🤣
Cheka utanue mapafu dearrrrr!! Ulimpikia mwamba nini😊😊😊😊😂!!
 
Wanaweka majivu na jiki nasikia
Utasikia siku Tatu tumzungu huyu hapa
Nakuambiajee shangaziii Tz nimenyoosha mikonoo.
, kuna siku nilikua hospital pale Mbezi Bochi, tukawa tumekaa na mdada analalama anasema kanunua tube ya betterson kachanganya na glycerin, anakuambia alivyopakaa ilikua inawasha km upupu had akaenda kuoga tena.

Tuka muuliza ulinunua dukan au, anasema alinunua Mwenge ila ya kupima, nilishtukaa nkasema kuna betterson ya kupima? Nkajibiwa zipoo. Ndo kuna m1 akasema wenzio wanachanganyaa na jikii mtakuja kuungua na kubabuka ngozii.

sasa wewe unapaka kitu kinakupa heka heka hivyo ili iwejeee??

 
🤣🤣🤣🤣🤣Unipite tu aise my skin ni oily skin Yan kidogo uso haukai sawa had niuzingatie ila sio mkorogo
Ila mm mweupe mwilin kuliko uso 😂😂😂nafikir sababu ya nguo nzito
Hebu tuone oily skin kwaniii hata sijui ikoje 🤠🤠🤠😊!!
 
Nakuambiajee shangaziii Tz nimenyoosha mikonoo.
, kuna siku nilikua hospital pale Mbezi Bochi, tukawa tumekaa na mdada analalama anasema kanunua tube ya betterson kachanganya na glycerin, anakuambia alivyopakaa ilikua inawasha km upupu had akaenda kuoga tena.

Tuka muuliza ulinunua dukan au, anasema alinunua Mwenge ila ya kupima, nilishtukaa nkasema kuna betterson ya kupima? Nkajibiwa zipoo. Ndo kuna m1 akasema wenzio wanachanganyaa na jikii mtakuja kuungua na kubabuka ngozii.

sasa wewe unapaka kitu kinakupa heka heka hivyo ili iwejeee??

Lol Hio ya kupima nomaaa !!
 
Muwe na jioni njema wapendwaaa nilikuepooooooo!!! ✌️✌️✌️!!
 
Sio mwamba mamaangu anapenda vishet Kila baada ya siku kadhaa anaomba umpikie
Sasa nikapika virefu kama moja😂😂
Akaniita akanmbia mm ukinipikia vishet sitaki umbo hili tengeneza umbo la nane nikawa najiuliza kwann 🤣🤣🤣🤣
Kunasiku nikataka kurudia 🤣🤣🤣🤣akanambia wee mm kunipikia vishet maumbo kma vibolo sitaki🤣🤣🤣🤣🤣nilicheka had nilishindwa kuendelea kupika 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

"Umbo kama vibolo"
🤣🤣🤣🤣🤣!
Hapo lazima ucheke kwanzaa hahahaaa...

Basi na akili za hovyo Ukaimagine hapo mfyuuuu😂😂🤠
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

"Umbo kama vibolo"
🤣🤣🤣🤣🤣!
Hapo lazima ucheke kwanzaa hahahaaa...

Basi na akili za hovyo Ukaimagine hapo mfyuuuu😂😂🤠
🤣🤣🤣🤣🤣Yan nilicheka
 
Sio mwamba mamaangu anapenda vishet Kila baada ya siku kadhaa anaomba umpikie
Sasa nikapika virefu kama moja
Akaniita akanmbia mm ukinipikia vishet sitaki umbo hili tengeneza umbo la nane nikawa najiuliza kwann
Kunasiku nikataka kurudia akanambia wee mm kunipikia vishet maumbo kma vibolo sitakinilicheka had nilishindwa kuendelea kupika
Usinikumbusheee, niliwahu pika bagia hizo, hadi kaka akanambia

"Hivi unaona raha sana kuendekeza upumbavu km hutaki kupika si unaacha sio kuleta ujinga wako"

Zile bagia ni mbooo kabisaa, sasa si unajua zina mtindo wa kujikata km cakee, sasa zinginee zikawa km mboo kabisa na kichwaa.

 
Usinikumbusheee, niliwahu pika bagia hizo, hadi kaka akanambia

"Hivi unaona raha sana kuendekeza upumbavu km hutaki kupika si unaacha sio kuleta ujinga wako"

Zile bagia ni mbooo kabisaa, sasa si unajua zina mtindo wa kujikata km cakee, sasa zinginee zikawa km mboo kabisa na kichwaa.

🤣🤣🤣Coca utanivunja mbavu 😂😂😂😂
Sipat picha walivochukia
 
Usinikumbusheee, niliwahu pika bagia hizo, hadi kaka akanambia

"Hivi unaona raha sana kuendekeza upumbavu km hutaki kupika si unaacha sio kuleta ujinga wako"

Zile bagia ni mbooo kabisaa, sasa si unajua zina mtindo wa kujikata km cakee, sasa zinginee zikawa km mboo kabisa na kichwaa.

Mlipodamkia leooo 🙌🙌🤠🤠🤠🤠😁😁😁!!
 
Back
Top Bottom