Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,293
- 183,178
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio mwamba mamaangu anapenda vishet Kila baada ya siku kadhaa anaomba umpikie
Sasa nikapika virefu kama moja😂😂
Akaniita akanmbia mm ukinipikia vishet sitaki umbo hili tengeneza umbo la nane nikawa najiuliza kwann 🤣🤣🤣🤣
Kunasiku nikataka kurudia 🤣🤣🤣🤣akanambia wee mm kunipikia vishet maumbo kma vibolo sitaki🤣🤣🤣🤣🤣nilicheka had nilishindwa kuendelea kupika 🤣🤣🤣🤣
"Umbo kama vibolo"
🤣🤣🤣🤣🤣!
Hapo lazima ucheke kwanzaa hahahaaa...
Basi na akili za hovyo Ukaimagine hapo mfyuuuu😂😂🤠