Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mie kupika hadi nitake, G nikiendaga kwake utasikia "ukiwepo km haupo sasa ndo nn aaah" namjibu nitue wee kaka mie sio hausigeli wako, na sijaja hapa kukupikiaa, kabla ya kukutana na mie alikua anakupikia nani? Hapo buzzy kuswama mitandaoni sina habari, akipika fastaa nshagoza makalio kulaa.

😂😂😁🤣🤣🤣🤣! Wee akili yako si unaijua mwenyewe!!
Wanasema mwanaume tumbo kwanza!! Yani ale ashibe sasa wewe na bange zako hizo Siku mtakauka mnazagamuana😂😂☺️!
 
Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu
Kuacha hata siku nzima.

Chapati hazitaki haraka.

Sasa zile za kukanda na kuchoma hapohapo lazima chapati itoke ngumu.
 
Au nawee uko ktk makoro koro ya mafungu? Jero kwa buku kutokana na kipimo??
Jero kwa buku Kutokana na kipimo 🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣!

Mbavuuu zanguuu coca pulllllllliiiiiiiiizzzzz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
 
Mwali wangu uvivu
Ila kupika hobby aisee
Shangaziii mnifunde kuhusu kupikaa, sio kwa uvivuu huu.
G siku hiyo aliamua kunichana makavu, na ilinichomaajee nilinuna na kumwaga chakula.

Alisema "yaan ungekua unajituma kwenye kupika km kwenye kusex mbna ungenenepa na kunawirii"

Siku ilee alinichomajee moyoo.
 
Back
Top Bottom