Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa udugu[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!

Wasituchoshe tusiwachoshe...

Shortly Tusichoshaneeeeeee[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]!!
Ndo maana akeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapake kimya kimya sasa kujishaua huko kwiooo.
Since when watru mashauzi wakaacha kujishaua shougaaangu naweee wee mgeni naoo??

Wapuuziie tyuu shougaaangu! Weka kwa 🚮🚮
 
Angekupa usukani wa jikoo mastaa jiko mwenyewe mbona angefurahi naroho yakee lol mi nikikaa nawewe ntapasuka kwa madikodiko!! 😂
Yan utapasuka dear
Nilikuta mama siku moja anamsimulia mtu anamwambia weee Aaliyah anapika huyo balaa hachoki 😂😂😂
Kunakitu nimekumbuka nimecheka sana 🤣🤣🤣
 
Yan utapasuka dear
Nilikuta mama siku moja anamsimulia mtu anamwambia weee Aaliyah anapika huyo balaa hachoki 😂😂😂
Kunakitu nimekumbuka nimecheka sana 🤣🤣🤣
Cheka utanue mapafu dearrrrr!! Ulimpikia mwamba nini😊😊😊😊😂!!
 
Wanaweka majivu na jiki nasikia
Utasikia siku Tatu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mzungu huyu hapa
Nakuambiajee shangaziii Tz nimenyoosha mikonoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna siku nilikua hospital pale Mbezi Bochi, tukawa tumekaa na mdada analalama anasema kanunua tube ya betterson kachanganya na glycerin, anakuambia alivyopakaa ilikua inawasha km upupu had akaenda kuoga tena.

Tuka muuliza ulinunua dukan au, anasema alinunua Mwenge ila ya kupima, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilishtukaa nkasema kuna betterson ya kupima? Nkajibiwa zipoo. Ndo kuna m1 akasema wenzio wanachanganyaa na jikii mtakuja kuungua na kubabuka ngozii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wewe unapaka kitu kinakupa heka heka hivyo ili iwejeee??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣🤣Unipite tu aise my skin ni oily skin Yan kidogo uso haukai sawa had niuzingatie ila sio mkorogo
Ila mm mweupe mwilin kuliko uso 😂😂😂nafikir sababu ya nguo nzito
Hebu tuone oily skin kwaniii hata sijui ikoje 🤠🤠🤠😊!!
 
Nakuambiajee shangaziii Tz nimenyoosha mikonoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna siku nilikua hospital pale Mbezi Bochi, tukawa tumekaa na mdada analalama anasema kanunua tube ya betterson kachanganya na glycerin, anakuambia alivyopakaa ilikua inawasha km upupu had akaenda kuoga tena.

Tuka muuliza ulinunua dukan au, anasema alinunua Mwenge ila ya kupima, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilishtukaa nkasema kuna betterson ya kupima? Nkajibiwa zipoo. Ndo kuna m1 akasema wenzio wanachanganyaa na jikii mtakuja kuungua na kubabuka ngozii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wewe unapaka kitu kinakupa heka heka hivyo ili iwejeee??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lol Hio ya kupima nomaaa !!
 
Muwe na jioni njema wapendwaaa nilikuepooooooo!!! ✌️✌️✌️!!
 
Back
Top Bottom