Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,841
Ngoja na mimi nifike nyumban ni selfike kidogo
Ngoja na mimi nifike nyumban ni selfike kidogo
Ngoja na mimi nifike nyumban ni selfike kidogo
Ujakosea kabisa ningekuwa na pesa ningeenda wavuvi sema nimenunua simu ngoja nikanywe nyumbanKazi kazi
Safiii
Ujakosea kabisa ningekuwa na pesa ningeenda wavuvi sema nimenunua simu ngoja nikanywe nyumban
Safiii
Mwagilia mwagilia
Kwanini mkuu mbona viko saf saanHongera sana kwa kuvuta mashine mpya. Hivyo viwanja naviogopa sana
KabisaaPesa yangu kwanini nijitese kwenye kunywa
Af kuna wale watu wenyewe wana wivu wakikuona tu unamwagilia moyo utasikia ajajenga anakazi ya kulewaKabisaa
Na hamna kujibahilia
Kujenga ni kuzika hela 🤣🤣Af kuna wale watu wenyewe wana wivu wakikuona tu unamwagilia moyo utasikia ajajenga anakazi ya kulewa
Dah yaani huwa sipend kuna siku nimejitoa zangu naenda Ramadan nikatupia.picha wasp kumbe kuna mtu kauzika uko kaenda mwambia rafike yake ambaye nafahamiana nae na anacontact zangu anamwabia et huyu kutwa kwenda sehemu za kutumia hela nying lakini masikini wakutupwa dah nilikwazika.hela zangu napangiwa matumiziKujenga ni kuzika hela 🤣🤣
Na kwanini ujenge wakati una pesa ya kupanga.. anytime unazunguruka utakavyo 😝😝
Iyo mimi hapana kaabisa siwez na sitakuja kuweza
😂😂
Ivi shipshape ipoje?
Ivi shipshape ipoje?
utazimia leo aisee😂
Siwezi zimautazimia leo aisee😂
usijaribu utakufa ni mara 100 ya sigaraIyo mimi hapana kaabisa siwez na sitakuja kuweza
Naiogopa sana iyo shishaVery neat