BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 6,417
- 12,985
Tumo wengi tuNajuaga jeiefu wamejaa wababa tu, kumbe na wakaka mumo
Sema tunajifanyaga wababa na sisi.😂
Tumo wengi tuNajuaga jeiefu wamejaa wababa tu, kumbe na wakaka mumo
Nimekaa hapa nje,, naomba unipitishie soseji 1 na chips kidogo 😍😋😋
Mnajizeesha 🤣 em acheniTumo wengi tu
Sema tunajifanyaga wababa na sisi.😂
Ngoja niwashauri na wenzanguMnajizeesha 🤣 em acheni
Achana na watu humu watakuumiza kichwa tu 😂😂😂Ila humu ndani kuna unaaa
Yaani tunaandika tu kujiburudisha lakini watu wanatu label sivyo kabisa
Sijapentaaaaa 😂😂😂😂
So sadAchana na watu humu watakuumiza kichwa tu 😂😂😂
Alafu fanya mambo yako bila kuangalia watu watasemaje.
Pole 😢So sad
Thank you .
evening oldie😂Good evening youngie
faza mwenye pesa zake😂View attachment 2679300
Asante karibu Mishikaki ya Tende na Alikasusu 😅
mshamba_hachekwi jioni Hii tu nakula vitu vya pwani
😭💕 Miss u mch!😥
Mod wana wivu kweli kipenzi.. nimekufungulia uzi wame ufuta 😭😭😭😭💕 Miss u mch!😥
Asante sana , the world is cruel oohPole 😢
Watu wanakuumiza sana moyo na wewe inaonekana hupendi maneno maneno na mambo ya kuvunja moyo. Chukulia poa ndio Dunia ilivyo
NambieCazeeee upooo??
Mic u mnoooo. [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
PoaaaNambie
YNWA[emoji91]
Ni nini kwaniNishapotezea dear
Na sijui kuongea sana mie .
Its well .
Nimetoka huku mwaka wa 2 sasa nishakuwa jobless😂YNWA[emoji91]
Wape hi social
[emoji23]mwaka wa 2 mbona michache bado[emoji23]Nimetoka huku mwaka wa 2 sasa nishakuwa jobless[emoji23]
We sema kama una mudaNipe locs nije kuabuduu.