mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
gen z ndo tumeanza utu uzima sasa....A bit crazy bado .
gen z ndo tumeanza utu uzima sasa....A bit crazy bado .
😂😂😍😍Eendiwoooooooo sis asisahau na ya kutolea!😊
Karibunigen z ndo tumeanza utu uzima sasa....
😂😂😂Jamani mbona umeenda mbali hebu kma Kuna mzee apite tumuone nielezee wako vizuri wapi,😂😂😂malizia sentensi wewe acha uoga😂
Church girl,Jambo Moja nimelitaka Kwa Bwana,
Nalo ni hili;
Nikae nyumbani mwa Bwana, Siku zote za Maisha yangu.
Niutafakari uzuri wake. View attachment 2679242View attachment 2679243View attachment 2679244

Salimia kaka yako 😀Vyema sana
Habari yako
Njoo Kanisani CocahChurch girl,![]()
No, sequence nzuri sana Hii 😂😂😂Hutak au😂
Shikamoo kakaSalimia kaka yako 😀
Kuna Nini tena?Ila humu ndani kuna unaaa
Yaani tunaandika tu kujiburudisha lakini watu wanatu label sivyo kabisa
Sijapentaaaaa![]()

Tunapakwaza matope hivi hiviKuna Nini tena?
Nihadhithie kidogo![]()
Marahaba hujambo?Shikamoo kaka
Sijambo vipi wewe ?Marahaba hujambo?
😂😂😂😂Kuna jukwaa la dini na Imani Miss Liverpool nendeni kule mkakaribishane kanisaniNjoo Kanisani Cocah
Dunia ishafika mwisho hii, kabla hatujauzwa mazima, heri tujiuze kwa Yesu
Mafua tu Mdogo wangu sema nitakuwa naleta selfie 🤳🏿 zangu za Tbt 😅Sijambo vipi wewe ?
Pole.Ila humu ndani kuna unaaa
Yaani tunaandika tu kujiburudisha lakini watu wanatu label sivyo kabisa
Sijapentaaaaa![]()
Pole aiseeMafua tu Mdogo wangu sema nitakuwa naleta selfie 🤳🏿 zangu za Tbt 😅