Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,487
- 65,822
Kabisa kwasababu mtu akiamua kukuchukia anakuchukia tukwa kweli
Ni mambo ya ajabu kujenga chuki ambazo hazina msingi.
Kabisa kwasababu mtu akiamua kukuchukia anakuchukia tukwa kweli
Ni mambo ya ajabu kujenga chuki ambazo hazina msingi.
Hata ufanyejeKabisa kwasababu mtu akiamua kukuchukia anakuchukia tu

Nitafurahi mdogo wanguMjep naomba nikununulie vocha hata ya miatano
Njoo ule matunda kwanza!!!!!Nimekaa hapa nje,, naomba unipitishie soseji 1 na chips kidogo 😍😋😋View attachment 2679407
We
Hebu nihadhithie hata pm kama hapa unaogopa



Hatari sana huyo kiumbe wenzake wanapanga mipango yeye anaangalia porno kwenye simu 😅Huyu mabega wazi 🔥🔥🔥🔥
Hatari sana huyo kiumbe wenzake wanapanga mipango yeye anaangalia porno kwenye simu![]()











Kusutwa ndio Sunnah😂😂😂Ubuyu nao ni Suna?😅
DiamondKaimba Nani hii?? Mbona mashairi makali saana
Umezoom umeona eeeh 😄 ila wadada ambao wananyoa nawakubali sana 😁Hatari sana huyo kiumbe wenzake wanapanga mipango yeye anaangalia porno kwenye simu 😅
Huwa wananoga sana 😅Umezoom umeona eeeh 😄 ila wadada ambao wananyoa nawakubali sana 😁
Wako bien 😄Huwa wananoga sana 😅
Humu sio poaNiandikie hata pm please
Hapa yaweza leta maneno
Nizamie PM iko wazi
Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimeua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu![]()
Sana humu tunao pia. Kama Dr Lizzy alinoga pia kipindi kile ana low cut😀Wako bien 😄
Mpe hongera zake aisee yupo juuu 😄Sana humu tunao pia. Kama Dr Lizzy alinoga pia kipindi kile ana low cut😀
Kongole kwako Dr Lizzy 😊Mpe hongera zake aisee yupo juuu 😄
Akija na kusindikiza na ka pic ka lowcut itakuwa imekaa poa 😁Kongole kwako Dr Lizzy 😊
Kongole nimezipokea Mzee wa kupambania ASANTE!!!☺️🤗Kongole kwako Dr Lizzy 😊
Cc Dr LizzyAkija na kusindikiza na ka pic ka lowcut itakuwa imekaa poa 😁