Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Humu sio poaNiandikie hata pm please [emoji3064]
Hapa yaweza leta maneno
Nizamie PM iko wazi[emoji847]
Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimeua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji91]
Yaani hapa tunacheka wote kumbe sio ,
Watu wana yao huko huko nje
Duh pole sana
Mie msiri kidogi 😂😂 , yaani sio maana sana .