Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekaa hapa nje,, naomba unipitishie soseji 1 na chips kidogo 😍😋😋View attachment 2679407
Njoo ule matunda kwanza!!!!!
20230706_190828.jpg
 
Niandikie hata pm please
Hapa yaweza leta maneno

Nizamie PM iko wazi

Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimeua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu
Humu sio poa
Yaani hapa tunacheka wote kumbe sio ,

Watu wana yao huko huko nje
Duh pole sana

Mie msiri kidogi 😂😂 , yaani sio maana sana .
 
Back
Top Bottom