CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Hakuna kitu kizuri kwa mpishi yeyote kama compliment ya chakula chake,, it's the best feeling everWakat wake Bado inshallah atapata
Hakuna kitu kizuri kwa mpishi yeyote kama compliment ya chakula chake,, it's the best feeling everWakat wake Bado inshallah atapata
VizuriKwa sifa na vigezo vilee mie tayari niko nje ya ulingo.
Basi sawa ntamuambia turudianee.
😀😀Kwakweli kakufaa sana mm aunt yangu aliniangusha lkn nilikuwa tayar nipo chuo Anko hakuwaka sanasiri zangu nyingii anazo alikua mdada wetu wa kazi, Paulina popote ulipoo uwndelee na kifua hicho na moyo huo.
Yaan yulee km kuniweka wazi duniani bas ndo angekua yeye, wazazi na ndugu wanakuja kujua, yeye ashatokaaa zamanii,yaan sina cha kusema, wadada wa kazi wanayajua mengi ya familia kuliko hata familia enyewee.![]()
Yani acha tu ni rahasana mm huwa napika Sili wakat mwingine lazima nitoe hata kibakuli nimpe jirani hasa nikipika vyakula flan hiv watu wale Ile Asante chakula kitam najisikia furaha sanaHakuna kitu kizuri kwa mpishi yeyote kama compliment ya chakula chake,, it's the best feeling ever
Huu ni mwaka wa 15 ninapika, but everytime nikipewa a compliment kuwa ni kitamu, it feels like the first time,,Yani acha tu ni rahasana mm huwa napika Siri wakat mwingine lazima nitoe hata kibakuli nimpe jirani hasa nikipika vyakula flan hiv watu wale Ile Asante chakula kitam najisikia furaha sana
Yani mtu hata akija kunisalimia utasikia umepika nn. Leo na km kipo natoa km hamna ukikaa tu naingia jikoni
Vipi mzigo was ukwaju ushafika😁😁Napika kwa sasa ifikapo saa 7 naingia mzigoni😍
We ni kachoyo🙄😪😐 AaliyyahYani acha tu ni rahasana mm huwa napika Siri wakat mwingine lazima nitoe hata kibakuli nimpe jirani hasa nikipika vyakula flan hiv watu wale Ile Asante chakula kitam najisikia furaha sana
Yani mtu hata akija kunisalimia utasikia umepika nn. Leo na km kipo natoa km 😪hamna ukikaa tu naingia jikoni
Una nisema Sasa😂😂Yuko vizuri itakuwa watu wanaojua kupika wengi sio wachoyo Hawa wakuchemsha chemsha hivo supuzao za dagaa wananyima balaa hawali had mgeni aondoke
Nimeshachukua tayari 😀😀Sasa unasubiri nn changamkia fursa😀😀
Acha uchoyo😀😀Una nisema Sasa😂😂
Yaani niwakaribishe, wakati nimepika Dagaa mmoja, mchuzi beseni😂😂Acha uchoyo😀😀
Same hereNilikuwa sikipendi kinoma,,![]()
Nimekula sana canteen,, chakula cha shule nimekula kwa kuhesabu,,Same here
Day one nikajiuliza what is this .
Nashukuru sana Ulcers , nikawa nakula special diet![]()
Hiyo ya kishua sana hiyo shuleNimekula sana canteen,, chakula cha shule nimekula kwa kuhesabu,,
😀😀😀Dagaa mchuzi mwingi had wanafufukaYaani niwakaribishe, wakati nimepika Dagaa mmoja, mchuzi beseni😂😂
Jirani i missed you ..Nimekula sana canteen,, chakula cha shule nimekula kwa kuhesabu,,
Vizuri na hongera sana inaleta rah kwakweliHuu ni mwaka wa 15 ninapika, but everytime nikipewa a compliment kuwa ni kitamu, it feels like the first time,,
Afu ni kadagaa kamoja 1 tu, kakifufuka nakaua Tena😂😂😀😀😀Dagaa mchuzi mwingi had wanafufuka
😀😀Afu ni kadagaa kamoja 1 tu, kakifufuka nakaua Tena😂😂