Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Upo vere eeeh
Pailo ndo nani ??

Mtumba safi
Usisahau shiffoni magauni Antonnia
Ndo mwenye Bello [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nifanya biashara nikiwa 2nd yr, ya Madira na vitengee (wax na Java). Sema mkoani kwetu watu ujuaji mwingi wakani felishaa.

Ko najua jua chocho za biashara, hasa kkoo na ilala
 
Huko vipi nguo toka Uganda
My mom alikuwa anaendaga huko kuchukua vitu
Mapochi sijui nini .
Kampala pia kuna nafuu bei chee na nguo ni nzuri kinoumaaaa!Sema kuvusha pale boda kama huna pass inasumbua
Huyo kwakua yupo Huko Dar ndio nataka anifanyie mafekecheee!!
 
Kampala pia kuna nafuu bei chee na nguo ni nzuri kinoumaaaa!Sema kuvusha pale boda kama huna pass inasumbua
Huyo kwakua yupo Huko Dar ndio nataka anifanyie mafekecheee!!
Duh ndo shida sana hapo border , ingekuwa raha unatuma mzigo mikoa mingine hata .

Yeah hakika atapata mzigo mzuri .
 
Santo sana !!
Muambie huyo mtu aende ilala palee akifika awaulize wale wauzaji pailo yuko wapi ataoneshwa boss husika, maana wale wanaouzaga pale ni madalali na vishokaa tyuuh.

Pailo anakua hukoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo mwenye Bello [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nifanya biashara nikiwa 2nd yr, ya Madira na vitengee (wax na Java). Sema mkoani kwetu watu ujuaji mwingi wakani felishaa.

Ko najua jua chocho za biashara, hasa kkoo na ilala
Sasa unatoa vitu vikali daslam unapekeka mpitimbi halafu unategemea u win😅
 
Ndo mwenye Bello [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nifanya biashara nikiwa 2nd yr, ya Madira na vitengee (wax na Java). Sema mkoani kwetu watu ujuaji mwingi wakani felishaa.

Ko najua jua chocho za biashara, hasa kkoo na ilala
Eeh kumbe ndo majina yao hayo
Hongera basi una pa kuanzia huku ukisubiria pakupata kazi .
 
  • Thanks
Reactions: 511
Duh ndo shida sana hapo border , ingekuwa raha unatuma mzigo mikoa mingine hata .

Yeah hakika atapata mzigo mzuri .
Yani kulee kuna pambaa kareee kama hukoo vipodozi ndio pakee sasa sema vipodozi boda wanasumbua zaidi kama huna kibali ni Changamoto sana!
 
Yani kulee kuna pambaa kareee kama hukoo vipodozi ndio pakee sasa sema vipodozi boda wanasumbua zaidi kama huna kibali ni Changamoto sana!
Ah ndo changamoto biashara inakuwa ngumu kabisa .

Si kama vitenge nasikia vinaagizwa Zambia huko .
 
Eeh kumbe ndo majina yao hayo
Hongera basi una pa kuanzia huku ukisubiria pakupata kazi .
Tatizo mie sio Pa kuanzia, wazazi hawataki nikae huku km mchongo haueleweki, wao wanataka iwe kazi rasmi, hata km ya kujitolea.

Mishe binafsi za kawaida hawatakiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo mie sio Pa kuanzia, wazazi hawataki nikae huku km mchongo haueleweki, wao wanataka iwe kazi rasmi, hata km ya kujitolea.

Mishe binafsi za kawaida hawatakiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchumba karibu mtaani[emoji869][emoji869]
 
Back
Top Bottom