Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

finalist sie,
Tulishajipanga mda, now tunawaza life la kitaaa.

Itakuajeeeeee???
Weee udugu akee huko Dar wapii ntapata trauza za kiume kike, sketi vigauni nzuri na vishati mitumba ofifacial bei chee kuna mtu yuko huko nataka aniletee mzigooo niwauzie Nyakiboo hukuuuu Haelewii pa kuanzia!! Tinsley
 
Weee udugu akee huko Dar wapii ntapata trauza za kiume kike, sketi vigauni nzuri na vishati mitumba ofifacial bei chee kuna mtu yuko huko nataka aniletee mzigooo niwauzie Nyakiboo hukuuuu Haelewii pa kuanzia!! Tinsley
Ilala dear
Au karume hapo
Naaonaga asubuhi wanawahi upate nzuru .
 
Weee udugu akee huko Dar wapii ntapata trauza za kiume kike, sketi vigauni nzuri na vishati mitumba ofifacial bei chee kuna mtu yuko huko nataka aniletee mzigooo niwauzie Nyakiboo hukuuuu Haelewii pa kuanzia!! Tinsley
Ilala pale Inatakiwa ukamate ma pailo wakupe mtumba grade 1,
Ni nzuri balaaa.
 
Upo vere eeeh
Pailo ndo nani ??

Mtumba safi
Usisahau shiffoni magauni Antonnia
Ndo mwenye Bello

Nifanya biashara nikiwa 2nd yr, ya Madira na vitengee (wax na Java). Sema mkoani kwetu watu ujuaji mwingi wakani felishaa.

Ko najua jua chocho za biashara, hasa kkoo na ilala
 
Huko vipi nguo toka Uganda
My mom alikuwa anaendaga huko kuchukua vitu
Mapochi sijui nini .
Kampala pia kuna nafuu bei chee na nguo ni nzuri kinoumaaaa!Sema kuvusha pale boda kama huna pass inasumbua
Huyo kwakua yupo Huko Dar ndio nataka anifanyie mafekecheee!!
 
Back
Top Bottom