cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Hivi msimu wa embe maji lini
Karibu tu mwayaNdo tunakaribiaa,
Utupokee kwa mikono 2
Weee udugu akee huko Dar wapii ntapata trauza za kiume kike, sketi vigauni nzuri na vishati mitumba ofifacial bei chee kuna mtu yuko huko nataka aniletee mzigooo niwauzie Nyakiboo hukuuuu Haelewii pa kuanzia!! Tinsleyfinalist sie,
Tulishajipanga mda, now tunawaza life la kitaaa.
Itakuajeeeeee???
Nasubiri sana Lenie. Mzima lakini mremboBado zipo jikoni, kaa standby jioni zinatua bandarini
Ilala dearWeee udugu akee huko Dar wapii ntapata trauza za kiume kike, sketi vigauni nzuri na vishati mitumba ofifacial bei chee kuna mtu yuko huko nataka aniletee mzigooo niwauzie Nyakiboo hukuuuu Haelewii pa kuanzia!! Tinsley
March had AprilHivi msimu wa embe maji lini
Nilikuwa najisikia uchovu, ila baada ya kuona ahadi yako kuwa niandae kibakuli, najisiki buheri wa afya. 😅Andaa kibakuli tu hapo😋
Me niko bomba kabisa, habari ya wewe
Ahaaa asante ngoja nimwelekeze!! Bukoba sio kwa kununua vitu huku ni kuna bei balaaa!!Ilala dear
Au karume hapo
Naaonaga asubuhi wanawahi upate nzuru .
Ilala pale Inatakiwa ukamate ma pailo wakupe mtumba grade 1,Weee udugu akee huko Dar wapii ntapata trauza za kiume kike, sketi vigauni nzuri na vishati mitumba ofifacial bei chee kuna mtu yuko huko nataka aniletee mzigooo niwauzie Nyakiboo hukuuuu Haelewii pa kuanzia!! Tinsley
Ni ilala yes, anatakiwa ampate pailo, ili akiwa na Bello aanze yeye kuchagua kabla ya kupelekwa sokoni.Ilala dear
Au karume hapo
Naaonaga asubuhi wanawahi upate nzuru .
Pailo ndonini tena huko Daslam udugu akee 😊😊😊🤣🤣!Ilala pale Inatakiwa ukamate ma pailo wakupe mtumba grade 1,
Ni nzuri balaaa.
Huko vipi nguo toka UgandaAhaaa asante ngoja nimwelekeze!! Bukoba sio kwa kununua vitu huku ni kuna bei balaaa!!
Nafurahi kusikia hivyo🤗Nilikuwa najisikka uchovu, ila baada ya kuona ahadi yako kuwa niandae kibakuli, najisiki buheri wa afya. 😅
Si wenye Mabello kabla halijafunguliwa, ukimkamata huyu biashara inanyooka, unapata kitu kikaliiiPailo ndonani tena huko Daslam udugu akee!
Ndo mwenye Bello




Kampala pia kuna nafuu bei chee na nguo ni nzuri kinoumaaaa!Sema kuvusha pale boda kama huna pass inasumbuaHuko vipi nguo toka Uganda
My mom alikuwa anaendaga huko kuchukua vitu
Mapochi sijui nini .