Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante dear!
Yaniii Afu mbele kwenyewe nywele zangu zilikatika balaa ni twakuokoteza tu alivorundika Ndiomana dakika hiohio anaweka naunguaaa!! Muhogo Ni motoo balaa!
Kha sijui alikuwa anatafuta nn
Maana ikigusa tu ngozi ni kuungua

Mimi niliokota mchanga nikaweka kwenye nywele uwii
Maumivu
 
Kha sijui alikuwa anatafuta nn
Maana ikigusa tu ngozi ni kuungua

Mimi niliokota mchanga nikaweka kwenye nywele uwii
Maumivu
Itakua vitu wanavyochanganyia ni vinomaa sana

Khakhakhaaaa mchanga / vumbivumbi linasaidia walau!!
 
hapo mie akiwa anairukiaa, nafunga miguu, pumbu zake zitagonga magoti yangu, utasikia zinapasuka "pchuu pchuu"

Ndo akili itamkaa sawaaa,
Utauaaaa udugu akee lol! Hio ikipenya lazima itokezee mgongoni weeeh😁😁😁😁😂😂😂!!
 
Yah inabaki niliona pia
Nusu nidumbukie kwenye pipa 😂😂 .

Naosha weh wapi , 😂😂
Nimeipigia salute u
Ndio mie sasa ananiosha ananiuliza wapi wanawasha mi najifanya hamna..akasisitiza ukisikia panawasha ujue dawa haijatoka vizuri itakuunguza wee hujusikii panawasha najishaua tayariii sisikii maumivu haaahh kukaa vizurii nasikia Sehemu panawashaaa uwiii kuja kupasugua vizuri kidondaaaa🙌🙌🙌
 
Ndio mie sasa ananiosha ananiuliza wapi wanawasha mi najifanya hamna..akasisitiza ukisikia panawasha ujue dawa haijatoka vizuri itakuunguza wee hujusikii panawasha najishaua tayariii sisikii maumivu haaahh kukaa vizurii nasikia Sehemu panawashaaa uwiii kuja kupasugua vizuri kidondaaaa🙌🙌🙌
Eeh pole sana , kikubwa kabisa ??
Mimi nywele tu zimegandana
 
Back
Top Bottom