Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,210
- 183,059
Yeah vitenge na kigoma ni nafuu pia vinatoka Burundi ...Ah ndo changamoto biashara inakuwa ngumu kabisa .
Si kama vitenge nasikia vinaagizwa Zambia huko .
Yeah vitenge na kigoma ni nafuu pia vinatoka Burundi ...Ah ndo changamoto biashara inakuwa ngumu kabisa .
Si kama vitenge nasikia vinaagizwa Zambia huko .
Mchumbaaa ndo naingiaa km hiviii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchumba karibu mtaani[emoji869][emoji869]
Ah pole jamaniTatizo mie sio Pa kuanzia, wazazi hawataki nikae huku km mchongo haueleweki, wao wanataka iwe kazi rasmi, hata km ya kujitolea.
Mishe binafsi za kawaida hawatakiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jifunze wanapoagizia mizigo then unaileta bongo.Yeah vitenge na kigoma ni nafuu pia vinatoka Burundi ...
Mtaani ni jau kama hujajipataMchumbaaa ndo naingiaa km hiviii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unoneshee mtaa ulivyoo.
Na vizuri sanaYeah vitenge na kigoma ni nafuu pia vinatoka Burundi ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatarii tupuu.Ah pole jamani
Mungu akujalie jamani ufanikiwe katika mambo yako .
Jamani ongea na ma eng huko .
Amina amina kubwa mkuu!Jifunze wanapoagizia mizigo then unaileta bongo.
Tutapambanaa hivyo hivyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtaani ni jau kama hujajipata
Nina ukishua gani mimiMtoto wa kishua, we kila kitu unasikia, njoo kwa field🤣
Rudi kwanza home kuna ma blessing kibao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatarii tupuu.
Ila mie siwezi rudi home, labda nishindwee kabisa kujitafutaa.
Nabaki huku huku,
Na hata nikirudi songea, ntaenda kupangaa kwangu. Ila home tenaa hapanaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntarudiii yess, ila nikirudi kwa graduu Dec, sitaenda tena songea.Rudi kwanza home kuna ma blessing kibao
🤣🤣🤣Ila usimwambie Jack Palladino na huyu mwenye shamba la bangi kule kisimiri mshamba_hachekwi kuwa umefurahi kusikia hivyo. Watanisagia kungini hawa nikose bagia 😅😅
Mungu ni mwema dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatarii tupuu.
Ila mie siwezi rudi home, labda nishindwee kabisa kujitafutaa.
Nabaki huku huku,
Na hata nikirudi songea, ntaenda kupangaa kwangu. Ila home tenaa hapanaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema tafuta leseni kama unaweza,, huwa inakuwa na michongo mikubwa kinyama,,Ntarudiii yess, ila nikirudi kwa graduu Dec, sitaenda tena songea.
Huku bushi wanapenda kuvaaa kupendezaaa kwa gharama yoyote sema huku wanapenda speshoo lol waone nguo ina chata ya Diamond sijui alivaa msanii fulani Alooooooohh utauza balaaa 😂😂😂😊!!Na vizuri sana
Biashara ya nguo nzuri sana
All the best 😍
Weh kumbe basi huko kuzuri sana .Huku bushi wanapenda kuvaaa kupendezaaa kwa gharama yoyote sema huku wanapenda speshoo lol waone nguo ina chata ya Diamond sijui alivaa msanii fulani Alooooooohh utauza balaaa 😂😂😂😊!!
Weee kwenye graduuuu nakosajeeee miee lazima nikujeeee Desemba ntakua hukooo!!😊😊Ntarudiii yess, ila nikirudi kwa graduu Dec, sitaenda tena songea.
Naahidi kuwa mtiifu kwako, kama mgambo na kirungu chake. Nitakulinda kila uendako, kikubwa nisikose bagia kila wiki🤣🤣🤣🤣
Hii ni siri yetu sisi wenyewe wawili, hao hawatajua kitu.
Na bagia nitakua nakutumia kila week
Kabisaaa yaan dear, tukazee kiubishii.Mungu ni mwema dear
Hakuna kigumu chini ya jua
Mie nishaamabiwa nirudi home , sitaki kabisa kupasikia , nipo nimekaza shingo
Ngoja tujifunze maisha hivi hivi kiubishi .
Ipo siku