Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Santo sana !!Si wenye Mabello kabla halijafunguliwa, ukimkamata huyu biashara inanyooka, unapata kitu kikaliii
Santo sana !!Si wenye Mabello kabla halijafunguliwa, ukimkamata huyu biashara inanyooka, unapata kitu kikaliii
Ila usimwambie Jack Palladino na huyu mwenye shamba la bangi kule kisimiri mshamba_hachekwi kuwa umefurahi kusikia hivyo. Watanisagia kunguni hawa nikose bagia 😅😅Nafurahi kusikia hivyo🤗
Duh ndo shida sana hapo border , ingekuwa raha unatuma mzigo mikoa mingine hata .Kampala pia kuna nafuu bei chee na nguo ni nzuri kinoumaaaa!Sema kuvusha pale boda kama huna pass inasumbua
Huyo kwakua yupo Huko Dar ndio nataka anifanyie mafekecheee!!
Muambie huyo mtu aende ilala palee akifika awaulize wale wauzaji pailo yuko wapi ataoneshwa boss husika, maana wale wanaouzaga pale ni madalali na vishokaa tyuuh.Santo sana !!







Sasa unatoa vitu vikali daslam unapekeka mpitimbi halafu unategemea u win😅Ndo mwenye Bello
Nifanya biashara nikiwa 2nd yr, ya Madira na vitengee (wax na Java). Sema mkoani kwetu watu ujuaji mwingi wakani felishaa.
Ko najua jua chocho za biashara, hasa kkoo na ilala
Eeh kumbe ndo majina yao hayoNdo mwenye Bello
Nifanya biashara nikiwa 2nd yr, ya Madira na vitengee (wax na Java). Sema mkoani kwetu watu ujuaji mwingi wakani felishaa.
Ko najua jua chocho za biashara, hasa kkoo na ilala
Yani kulee kuna pambaa kareee kama hukoo vipodozi ndio pakee sasa sema vipodozi boda wanasumbua zaidi kama huna kibali ni Changamoto sana!Duh ndo shida sana hapo border , ingekuwa raha unatuma mzigo mikoa mingine hata .
Yeah hakika atapata mzigo mzuri .
Sasa unatoa vitu vikali daslam unapekeka mpitimbi halafu unategemea u win![]()




yaan wee achaa tyuuh, ndo hivyoo bhanaa.Ah ndo changamoto biashara inakuwa ngumu kabisa .Yani kulee kuna pambaa kareee kama hukoo vipodozi ndio pakee sasa sema vipodozi boda wanasumbua zaidi kama huna kibali ni Changamoto sana!
Tatizo mie sio Pa kuanzia, wazazi hawataki nikae huku km mchongo haueleweki, wao wanataka iwe kazi rasmi, hata km ya kujitolea.Eeh kumbe ndo majina yao hayo
Hongera basi una pa kuanzia huku ukisubiria pakupata kazi .






Mtoto wa kishua, we kila kitu unasikia, njoo kwa field🤣Ah ndo changamoto biashara inakuwa ngumu kabisa .
Si kama vitenge nasikia vinaagizwa Zambia huko .
Mchumba karibu mtaaniTatizo mie sio Pa kuanzia, wazazi hawataki nikae huku km mchongo haueleweki, wao wanataka iwe kazi rasmi, hata km ya kujitolea.
Mishe binafsi za kawaida hawatakiii![]()


Yeah vitenge na kigoma ni nafuu pia vinatoka Burundi ...Ah ndo changamoto biashara inakuwa ngumu kabisa .
Si kama vitenge nasikia vinaagizwa Zambia huko .
Mchumbaaa ndo naingiaa km hiviii,Mchumba karibu mtaani![]()




Ah pole jamaniTatizo mie sio Pa kuanzia, wazazi hawataki nikae huku km mchongo haueleweki, wao wanataka iwe kazi rasmi, hata km ya kujitolea.
Mishe binafsi za kawaida hawatakiii![]()
Jifunze wanapoagizia mizigo then unaileta bongo.Yeah vitenge na kigoma ni nafuu pia vinatoka Burundi ...
Mtaani ni jau kama hujajipataMchumbaaa ndo naingiaa km hiviii,
Unoneshee mtaa ulivyoo.
Na vizuri sanaYeah vitenge na kigoma ni nafuu pia vinatoka Burundi ...
Ah pole jamani
Mungu akujalie jamani ufanikiwe katika mambo yako .
Jamani ongea na ma eng huko .



yaan hatarii tupuu.




Amina amina kubwa mkuu!Jifunze wanapoagizia mizigo then unaileta bongo.