Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtoto wa kishua, we kila kitu unasikia, njoo kwa field🤣
Nina ukishua gani mimi
Hoe hoe sina jipya hata

Biashara nzuri sana kwetu wanaamini sana katika kazi kuliko biashara .

Either uwe na kazi na kipato extra .
 
  • Thanks
Reactions: 511
yaan hatarii tupuu.
Ila mie siwezi rudi home, labda nishindwee kabisa kujitafutaa.
Nabaki huku huku,

Na hata nikirudi songea, ntaenda kupangaa kwangu. Ila home tenaa hapanaaa.
Mungu ni mwema dear
Hakuna kigumu chini ya jua

Mie nishaamabiwa nirudi home , sitaki kabisa kupasikia , nipo nimekaza shingo

Ngoja tujifunze maisha hivi hivi kiubishi .

Ipo siku
 
Na vizuri sana
Biashara ya nguo nzuri sana
All the best 😍
Huku bushi wanapenda kuvaaa kupendezaaa kwa gharama yoyote sema huku wanapenda speshoo lol waone nguo ina chata ya Diamond sijui alivaa msanii fulani Alooooooohh utauza balaaa 😂😂😂😊!!
 
Huku bushi wanapenda kuvaaa kupendezaaa kwa gharama yoyote sema huku wanapenda speshoo lol waone nguo ina chata ya Diamond sijui alivaa msanii fulani Alooooooohh utauza balaaa 😂😂😂😊!!
Weh kumbe basi huko kuzuri sana .
Tafuta na vingine vya kuwavutia jinsi mtaji unavyokuwa

Be blessed
 
🤣🤣🤣
Hii ni siri yetu sisi wenyewe wawili, hao hawatajua kitu.

Na bagia nitakua nakutumia kila week
Naahidi kuwa mtiifu kwako, kama mgambo na kirungu chake. Nitakulinda kila uendako, kikubwa nisikose bagia kila wiki🤣
 
Mungu ni mwema dear
Hakuna kigumu chini ya jua

Mie nishaamabiwa nirudi home , sitaki kabisa kupasikia , nipo nimekaza shingo

Ngoja tujifunze maisha hivi hivi kiubishi .

Ipo siku
Kabisaaa yaan dear, tukazee kiubishii.
 
Naahidi kuwa mtiifu kwako, kama mgambo na kirungu chake. Nitakulinda kila uendako, kikubwa nisikose bagia kila wiki🤣
Sasa utasababisha niwe natuma bagia zikiambatana na sambusa, ndio hizo huduma ziwe maradufu 😋🥰
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Maeneo ya vijinini changamoto Lughaaaa! wengi wakija dukani wanaulizia vitu kwa kilugha!😂😂😊😊!!
Wabaguzi balaa!!
Duh so sad
Wana ukabila

Sijawahi ishi kijijini nikifika nahisi nitakuwaa nashangaa tu .
 
Sasa utasababisha niwe natuma bagia zikiambatana na sambusa, ndio hizo huduma ziwe maradufu 😋🥰
Hakika utanifanga nikonde kwa maraha, maana bagia za mrembo ni tamu sana. Nitakulinda kama nyuki na asali yake. 😘
 
Ahaaa asante ngoja nimwelekeze!! Bukoba sio kwa kununua vitu huku ni kuna bei balaaa!!
1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.

2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi

3. Kahama pia, japo siyo sana...

Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
 
Back
Top Bottom