Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naahidi kuwa mtiifu kwako, kama mgambo na kirungu chake. Nitakulinda kila uendako, kikubwa nisikose bagia kila wiki🤣
Sasa utasababisha niwe natuma bagia zikiambatana na sambusa, ndio hizo huduma ziwe maradufu 😋🥰
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Maeneo ya vijinini changamoto Lughaaaa! wengi wakija dukani wanaulizia vitu kwa kilugha!😂😂😊😊!!
Wabaguzi balaa!!
Duh so sad
Wana ukabila

Sijawahi ishi kijijini nikifika nahisi nitakuwaa nashangaa tu .
 
Sasa utasababisha niwe natuma bagia zikiambatana na sambusa, ndio hizo huduma ziwe maradufu 😋🥰
Hakika utanifanga nikonde kwa maraha, maana bagia za mrembo ni tamu sana. Nitakulinda kama nyuki na asali yake. 😘
 
Ahaaa asante ngoja nimwelekeze!! Bukoba sio kwa kununua vitu huku ni kuna bei balaaa!!
1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.

2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi

3. Kahama pia, japo siyo sana...

Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
 
😁😁❤️😁😁
PXL_20230625_064334285.jpg
 
1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.

2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi

3. Kahama pia, japo siyo sana...

Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
Barikiwa sanaa mnywaniii !

Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee!😊

Ngoja nifanye comparisons nione wakora munooo!
 
Barikiwa sanaa mnywaniii !
Wakora munoo!
Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee![emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23]bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa
 
1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.

2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi

3. Kahama pia, japo siyo sana...

Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii!
Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa
Lol Ngara kote huko mbona mbali sanaa uwiii!! Hamia Missenyi Au Muleba japo muleba pamepoa sanaa hata hapajachangamka kabisa!!
 
Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii!
Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!!
Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashuka
 
Back
Top Bottom