Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,298
Hahah hapana sijawahi kuwa na shaka naye kabisa
Hahaha mbona maelezo yako kama unamashaka na mrembo jo.....![]()
Hahaha mbona maelezo yako kama unamashaka na mrembo jo.....![]()
haki majibu yako huwa yananifurahisha mno aise



sikuwa nampenda hata
Mmhh kuna mkaka nilisoma naye alikuwa ana muandiko mzuri jamani hasa akiandikia black pen karatasi inakuwa kama imetolewa copy vile,, hadi nikawa namuomba awe anaandikia black pen tu..
Kwa hiyo ulikua na back bencher wako mmoja uliemwelewa sio?![]()
Hahaha always you've been real in here...mi sinaga shida na hilo kwako...haijalishi uko jinsia ipi



nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..
Ujue umenifanya nirudie kusoma nilichoandika
Nimejibu vibaya kwani?![]()



Being real is my thing Watu8
Halafu moja ya best part of being real is being real (sijui hata kama umenielewa) so i can be fake in any way buuuut siwezi kufake jinsia yangu
Ndio maana yoyote atakayeamua kuniweka kwa wa kike ama wa kiume sina sababu ya msingi ya kubishana nae...
Naunga mguu hoja.
Na siku utakayoamua kukutana na mtu ujue betri inachomolewa.nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..



Karma njoo ujibu hizi shutuma...kumbe hujui hata maindi ya kukaanga na mabukunda yalikua na ladha gani??
Mtoto wa kishua huyo, alikuwa anapenda mahendisamu boy, wale shati imepigwa pasi imenyooka, lunch time wanagonga vyepe/vimto na sio mihogo au aisikrimu za viroba
Na siku utakayoamua kukutana na mtu ujue betri inachomolewa.
nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..
nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..
Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!Oohh yeah nakumbuka uliwahi niambia,, je kuna wengine umewahi kukutana nao au na wewe una msimamo kama wa joanah??
Moja ya kosa ambalo ukifanya kuna mawili mtu ubadili I'd au usepe mzima jf kama DHahaha...somehow it's true
Kuna raia wameiharibu sana hii forum hasa new comers kuanzia 2014 hapo kuja huku 2019
Naunga mkono hojaHahahahah ee hawana uhakika
Halafu JF inanoga hivi hivi tusivyojuana bhana 😅
.....and that's the million dollar questionNilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!
Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!




Chakula gani hiki mzeee.....! Big up