Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakumbuka kitambo nikiwa primary....

Ukiwa na mwandiko mzuri tu basi jiandae kupewa kazi ya kuwaandikia waalimu notsi zao...

Utapata unaanda notsi za kilimo cha buni Burundi, sijui pamba Sudan
Mmhh kuna mkaka nilisoma naye alikuwa ana muandiko mzuri jamani hasa akiandikia black pen karatasi inakuwa kama imetolewa copy vile,, hadi nikawa namuomba awe anaandikia black pen tu..
 
Hahaha always you've been real in here...mi sinaga shida na hilo kwako...haijalishi uko jinsia ipi

Being real is my thing Watu8

Halafu moja ya best part of being real is being real (sijui hata kama umenielewa) so i can be fake in any way buuuut siwezi kufake jinsia yangu

Ndio maana yoyote atakayeamua kuniweka kwa wa kike ama wa kiume sina sababu ya msingi ya kubishana nae...​
 
nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..
Ujue umenifanya nirudie kusoma nilichoandika

Nimejibu vibaya kwani?
 
nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..
Na siku utakayoamua kukutana na mtu ujue betri inachomolewa.
 
Kuna mdada kaweka photo ako kwa basi/treni kavaa sketi ya blue...

Picha naiona tu hapa kama skriniseva ya uzi kwa sasa...

Ni nani, maana kuna benki ipo tayari kukupa mkopo bi mkubwa...
 
Karma njoo ujibu hizi shutuma...kumbe hujui hata maindi ya kukaanga na mabukunda yalikua na ladha gani??

Daaa ila tumesoma kwa shida sana aisee tulikua tunaenda kulima mashamba ya walimu hadi mikono inawaka moto
Mtoto wa kishua huyo, alikuwa anapenda mahendisamu boy, wale shati imepigwa pasi imenyooka, lunch time wanagonga vyepe/vimto na sio mihogo au aisikrimu za viroba
 
nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..


Hahahahah ee hawana uhakika

Halafu JF inanoga hivi hivi tusivyojuana bhana 😅
 
Wanywaji tunakutana sana na sijawahi kuona madhara yoyote...
nimecheka hapo "hata hivyo hakuna mwenye uhakika kama mie ni wa kike kweli" ila pia nakunukuu kuna siku uliwahi kusema "swala la kuonana na mtu yeyote wa JF ni gumu sana" aise ile comment nilikuunga mwili mzima,, mie kuna watu humu natamani tu niwafahamu ila kukutana na mtu yeyote humu daah ni shughuli pevu..
 
Oohh yeah nakumbuka uliwahi niambia,, je kuna wengine umewahi kukutana nao au na wewe una msimamo kama wa joanah??
Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!

Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!
 
Nilikuwa na msimamo kama wa joanah ila naona shetani ananizidi nguvu!

Seriously kuna wakati natamani kuonana na watu kwa ajili ya kupeana mawazo ya maendeleo, najua humu hatulingani, humu kuna watu wenye connection mob! Ila wasi wasi wangu ni je, hawa watu tutaendana kitabia?!
.....and that's the million dollar question

always be smart
 
Back
Top Bottom